Ndoa bila PMU inawezekana?

Ndoa bila PMU inawezekana?

mamie kuvumilia had mfunge ndoa ndio swala la busara.
ila kizaz iki hilo swala kwao limeprove failure kbs yan ful kuchakachuana.
ww ukimpata wa kukuvumilia had ndoa mama mkabe maana wamebaki wachache kwel uku dunian.
 
Hamna haja ya kuoana kwa mbwembwe alafu baadae matatizo yaanze kisa mke hazai wakati uhakika unaweza patikana kabla na kuepuka kero ya kusengenyana.

kwa hiyo ukigundua kabla ya ndoa kuwa hazai unaachana nae?
 
kwa hiyo ukigundua kabla ya ndoa kuwa hazai unaachana nae?

Inategemea na umuhimu wa mtoto/watoto kwa hao watu.Wana haki ya kuachana kama hawawezi kutimiza malengo yao pamoja.
 
Inategemea na umuhimu wa mtoto/watoto kwa hao watu.Wana haki ya kuachana kama hawawezi kutimiza malengo yao pamoja.

hivyo kigezo muhimu ni kuangalia kama wanaweza kutimiza malengo yao kwa pamoja na sio kuangalia kama anazaa au la kabla ya ndoa. Maana upendo wa kweli ujalishi hilo ukimpenda mtu bwana hata kama hazai utafurahia maisha ya ndoa.
KUNGURU HAFUGIKI
 
hivyo kigezo muhimu ni kuangalia kama wanaweza kutimiza malengo yao kwa pamoja na sio kuangalia kama anazaa au la kabla ya ndoa. Maana upendo wa kweli ujalishi hilo ukimpenda mtu bwana hata kama hazai utafurahia maisha ya ndoa.
KUNGURU HAFUGIKI
Kwani kuwa na mtoto sio lengo?Hilo nalo ni lengo na ndio maana unasikia wanandoa wana matatizo kisa hawajajaliwa mtoto na wengine kufikia hata kutafuta nje ama kuvunja kabisa ndoa. Tofauti ni kwamba sio lengo la kila mtu. . .


Na hayo maswala ya "kunguru hafugiki" yanaingia vipi hapa?
 
Kwani kuwa na mtoto sio lengo?Hilo nalo ni lengo na ndio maana unasikia wanandoa wana matatizo kisa hawajajaliwa mtoto na wengine kufikia hata kutafuta nje ama kuvunja kabisa ndoa. Tofauti ni kwamba sio lengo la kila mtu. . .


Na hayo maswala ya "kunguru hafugiki" yanaingia vipi hapa?

ni kweli kila mtu anayeoa/olewa natarajia kupata mtoto ila ikitokea hampati hilo lisiwe sababu ya kutengana na huenda tatizo likawa ni la yule ambae anavunja uhusiano. Ama sivyo utakuwa una mahusiana na wapenzi kibao bila kutimiza malengo.
 
ni kweli kila mtu anayeoa/olewa natarajia kupata mtoto ila ikitokea hampati hilo lisiwe sababu ya kutengana na huenda tatizo likawa ni la yule ambae anavunja uhusiano. Ama sivyo utakuwa una mahusiana na wapenzi kibao bila kutimiza malengo.

Vyovyote vile INATOKEA.
Sasa badala ya kufunga ndoa itakayogeuka ndoano bora watu wajue mapema.
 
Kwa hio Mungu aliposema usifunje amri sita hii imekaaje? Mungu hajui kama una malengo na akasema usizini? na Huyu asiozaa ataolewaje? Je ni sababu tosha ya kutozaa ivunje uchumba? Mapenzi yana nafasi gani hapo? Ikiwa ni wewe inakutokea hio huzai unaachwa na mchumba wako utajiskiaje? Think abou it Lady.

Inategemea na umuhimu wa mtoto/watoto kwa hao watu.Wana haki ya kuachana kama hawawezi kutimiza malengo yao pamoja.
 
Kwa hio Mungu aliposema usifunje amri sita hii imekaaje? Mungu hajui kama una malengo na akasema usizini? na Huyu asiozaa ataolewaje? Je ni sababu tosha ya kutozaa ivunje uchumba? Mapenzi yana nafasi gani hapo? Ikiwa ni wewe inakutokea hio huzai unaachwa na mchumba wako utajiskiaje? Think abou it Lady.

Ntajisikia poa!!Kwanini nitake kuolewa na mtu ambae siwezi kumridhisha?
 
siku hizi mimba zinatolewa nyingi sana
uhakika ni kuoa ukiwa na uhakika kabisa
kwa data za marie stopes kila siku wanafunzi si chini ya watano wanatoa mimba kwa dar peke yake
nani akubali kuuziwa mbuzi kwa gunia? we test before we drive bwana
 
Hivi sababu ya kuoana ni kuzaa?
Na je Mungu ni mjinga yeye aliyeumba viungo vya uzazi mwenyewe na bado akasema usizini.

Ndio maana ndoa nyingi za waafrika hazina furaha watu wanachukulia kama jela wao wanaoa ili kukuza ukoo tu.
Na ni nani aliyesema mkazaane mkaongezeke mkaijaze dunia? watoto ndio kiunganisho cha ndoa na familia zenu, kwa sababu kama ulikuwa hujui mwanamke sio ndugu yako, ila watoto wakizaliwa ndio wanaziunganisha familia zenu.
 
Ntajisikia poa!!Kwanini nitake kuolewa na mtu ambae siwezi kumridhisha?

Do u mean it lizzy?...mwanaume unampenda kwa dhati kisha anakusakama na kukuacha huku akikuita mgumba...wewe utajisikia poa kweli??
 
Do u mean it lizzy?...mwanaume unampenda kwa dhati kisha anakusakama na kukuacha huku akikuita mgumba...wewe utajisikia poa kweli??

Kwanini anisakame ikiwa sitomng'ang'ania?
Ni kiasi tu cha kuwa mwelewa, hamna haja ya kung'ang'ania mahusiano na mtu ambae sipo nae kwenye ukurasa mmoja.
 
Na ni nani aliyesema mkazaane mkaongezeke mkaijaze dunia? watoto ndio kiunganisho cha ndoa na familia zenu, kwa sababu kama ulikuwa hujui mwanamke sio ndugu yako, ila watoto wakizaliwa ndio wanaziunganisha familia zenu.

Mke hawezi kuwa ndugu yako hata siku moja na wala hatakiwi kuwa ndugu yako kabla wala baada ya watoto.Mke ni mpenzi wako,ndio maana dada ni dada shangazi ni shangazi bibi ni bibi na Mke ni mke anabaki hivyo hivyo.

Kuhusu kuzaa na kuujaza ulimwengu ni kweli lakini ndani ya ndoa sio kwenye zinaa,labda awe Mungu wa ki siku hizi.
 
Binafsi siwezi kuingia kichwa kichwa kwenye ndoa,
Akishatoa mahari riheso lzm,then ndio nijiandae na pafomansi ndani ya ndoa,
Haya mambo ya kujidai nasubiri ndoa unaingia humo unaikimbia ndoa asubuhi ya hane muni.
 
PMU ni pata mimba uolewe!
p-PATA
M-MIMBA
U-UOLEWE.

unajua inabidibasi m2 uwe na malengo sio mpaka mimba inajitokeza mnaanza process za kujitambulisha na ndoa kwa kukimbizana na mda. funga basi na pMU ikiwa ndogo .ninasema hivi huku mtaani kwetu kuna harusi ilifungwa kama mwezi umepita bibi harusi alikuwa amechoka ile mbaya namaanisha alikuwa na masaa machache yaliobaki ya kujifungua,wakafungishwa ndoa vizuri ile wanavalishana pete binti akaanza kupata uchungu ikabidi apelekwe leba ........ss cpati picha ukumbini nani aliingia hivyo 2we waangalifu jamani
 
Back
Top Bottom