Ndoa haina thamani katika Karne hii ya 21

Ndoa haina thamani katika Karne hii ya 21

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Sasaivi hakuna tena umuhimu wa ndoa kama hapo zamani kwasababu zifuatazo:

1. Sasa hivi wanawake wanataka haki sawa na wanaume yaani 50/50

2. Wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kusaka pesa za urithi au mirathi mume akifa.

3. Vipato vinazidiana sana

4. Watu wanaoa kwa show off tu

5. Mama ni mwajiriwa na baba ni mwajiriwa ila mtoto analelewa na house girl!

6. Wanawake wengi saivi wanajiweza na hawategemei financial support kutoka kwa wanaume tena wengine wanalea mpaka waume zao!

N.B Wengi wameingia kwenye ndoa ila wanajutaa narudia wanajutaa hivo ndoa isiwe kifungo kwako. Dunia imebadilika hakuna utofauti wa mtoto anaelelewa na wazazi wawili waliopo kwenye ndoa na anayelelewa na single parent.
 
Mkuu usiumie sana wale wameshaoana na picha hizoo. Tafuta pesa mkuu upate amani

p_6813411124202557525069_0_12ade96fc3308ad87e75fd5f78822b9c.jpg
p_6813415513711652247149_0_dad86e7b1bb6a0ec509e19d5ef473f1f.jpg
p_6813415367531148582052_0_be2d4292e6b3ffb9db63917da18c3ed4.jpg
 
Sasaivi hakuna tena umuhimu wa ndoa kama hapo zamani kwasababu zifuatazo:

1. Sasa hivi wanawake wanataka haki sawa na wanaume yaani 50/50

2. Wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kusaka pesa za urithi au mirathi mume akifa.

3. Vipato vinazidiana sana

4. Watu wanaoa kwa show off tu

5. Mama ni mwajiriwa na baba ni mwajiriwa ila mtoto analelewa na house girl!

6. Wanawake wengi saivi wanajiweza na hawategemei financial support kutoka kwa wanaume tena wengine wanalea mpaka waume zao!

N.B Wengi wameingia kwenye ndoa ila wanajutaa narudia wanajutaa hivo ndoa isiwe kifungo kwako. Dunia imebadilika hakuna utofauti wa mtoto anaelelewa na wazazi wawili waliopo kwenye ndoa na anayelelewa na single parent.
Kwa kweli
 
Back
Top Bottom