Ndoa Hii Inaweza Kuvunjwa??

Wameishi muda mrefu bila jamaa kusimama hata kidogo.....
 
hii ni hatari, bora tu ndoa ivunjwe!!
 

Mpe pole binamu yako.
Ndoa itavunjwa ikithibitika kisayansi jamaa hawezi kazi
 
Kumbe wakati mwingine kuna faida ya kutest kwanza kama (........)hili ni tatizo

nadhani akilifikisha kwa familia upande wa mme na wake watajua namna ya kutatua huu mgogoro..

Utakaaje ndani ya nyumba bila kupewa haki yako?
 
duh hii kweli ni nzito, maskini ila huruma aibu atakayopata huyo mume jamani laaaaa
 
Kumbe wakati mwingine kuna faida ya kutest kwanza kama (........)hili ni tatizo

nadhani akilifikisha kwa familia upande wa mme na wake watajua namna ya kutatua huu mgogoro..

Utakaaje ndani ya nyumba bila kupewa haki yako?

hahaha yeah shake before use

Yeah lazima ukague ujiridhishe sasa ishu kama wewe umempenda alafu yeye akakuona unakasoro akasepa ndo ishu.
 
Kumbe wakati mwingine kuna faida ya kutest kwanza kama (........)hili ni tatizo

nadhani akilifikisha kwa familia upande wa mme na wake watajua namna ya kutatua huu mgogoro..

Utakaaje ndani ya nyumba bila kupewa haki yako?

Kwa mfano ukaingia afu ndo unakuja gundua kuwa rais ana huo ugonjwa we utafanyaje.
 
aiseeee.. sasa jamaa alioa ili iweje?<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/roll.gif" border="0" alt="" title="Roll" smilieid="268" class="inlineimg" />
Labda kujenga heshima mtaani.....
 
Kwa hiyo hata wewe ukiugua malaria..then majirani wakagundua kuwa una malaria, utaona aibu..?
Kwa kweli malaria na hiyo issue ni kitu tofauti, na isitoshe jamaa alijua fika kwamba hawezi, alioa ili iweje? au hata hakujua kwenye ndoa kuna nini kinaendelea?na kuongea mbele yawazazi pia, yaan wazee wakae kuongelea hiyo issue ni aibu sana, issue yoyote inayohusu hizo sehemu huwa ni aibu kuongelea

Kuna mkaka alipelekwa kwa mama yake akagusishwa tu kidogo ikaanza kufanya kazi, walisema alidondokewa na kitovu sijui, alipokuwa mchanga
na mama yake akajua kabisa tangu utotoni kuwa mwanawe hayuko sawa,hivi kuna mtu kashasikia hii? huwa kweli inafunction? au tunadanganywa tu
 

Kumshauri mtu awe mzinzi nadhani sio jambo jema.
 
Ivunjwe tu, hakuna ndoa bila tendo
 
inatetemeana. hii ndo ainaweza kuvunjwa au isivunjwe, kwa wale wanasheria ndo aya aina hii inaitwa voidable marriage, sio void marriage...voidable marriage inaweza kuvunjwa na kujulikana kama hakukuwa na marriage kabisaaa.
1. kama alishalala naye hata maramoja tu baada ya ndoa halafu mzee akazimika, hiyo ndoa ni valid, sio voidable, pamoja na kwamba anaweza kutoa talaka kwa usumbufu mwingi lakini.

2. kama kuanzia pale walipofunga ndoa usiku ule hawakudo hata mara moja, hiyo ndo haipo kabisa, inahesabika haikufungwa. kugungwa kwa ndoa huwa kunakamilishwa na kufanya mapenzi walau mara moja tu baada ya cerebrating the marriage.

3. mwambie hivi, kama siku ile walishafanya hata mara moja tu, basi ndoa, na atatakiw akudumu na tatizo hilo, ambalo wengine huwa wanamaliza haja kwa kupigwa finger na mumewe kama mzigo hausimami...ila kama hakufanya kabisa, aende kuondoa hiyo ndoa afunge na mtu mwingine. huu ndo msimamo wa sheria za tz.
 
hata kanisa katoliki linatambua hizo void marriages....ni kiasi cha kurudi kwa padri na kueleza tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…