inatetemeana. hii ndo ainaweza kuvunjwa au isivunjwe, kwa wale wanasheria ndo aya aina hii inaitwa voidable marriage, sio void marriage...voidable marriage inaweza kuvunjwa na kujulikana kama hakukuwa na marriage kabisaaa.<br />
1. kama alishalala naye hata maramoja tu baada ya ndoa halafu mzee akazimika, hiyo ndoa ni valid, sio voidable, pamoja na kwamba anaweza kutoa talaka kwa usumbufu mwingi lakini.<br />
<br />
2. kama kuanzia pale walipofunga ndoa usiku ule hawakudo hata mara moja, hiyo ndo haipo kabisa, inahesabika haikufungwa. kugungwa kwa ndoa huwa kunakamilishwa na kufanya mapenzi walau mara moja tu baada ya cerebrating the marriage. <br />
<br />
3. mwambie hivi, kama siku ile walishafanya hata mara moja tu, basi ndoa, na atatakiw akudumu na tatizo hilo, ambalo wengine huwa wanamaliza haja kwa kupigwa finger na mumewe kama mzigo hausimami...ila kama hakufanya kabisa, aende kuondoa hiyo ndoa afunge na mtu mwingine. huu ndo msimamo wa sheria za tz.