Inavyojulikana mojawapo ya kigezo cha kujua kuwa ndoa ipo ni ile wenza baada ya kuoana wakaconsumate marriage yao yaani wakafanya sex katika usiku ule wa ndoa yao. Kama hilo halikutokea kwa sababu ya either matatizo ya mwanaume kutoweza kufanya sex na mke wake kutokana na matatizo ya kiafya kama kushindwa au kutokuwa na nguvu z akuweza kufanya hivyo au kwa mwanamke may be kwa kuwa na maumbilie madogo ambayo hayamtoshi mwenza wake so akashindwa kuconsumate marriage hicho kisheria ni kielelezo kuwa hakuna ndoa hapo na inaweza kuvunjwa. Aw3aone viongozi wake wa dini awajulishe na then aende mahakamani maana ndio yenye uamuzi wa mwisho kuvunja ndoa hiyo
Ndugu yako ni mnafiki, kama anaomba ushauri kwa ndugu na jamaa huko sio kumdhalilisha kama lengo ni kuficha aibu za huyu punga anayekaa naye? Na anapotaka taratibu zifuatwe haoni sasa ndio atazidi kumdhalilisha maana itabidi kuhusisha, kanisa, wazee na pengine mahakama?
Kaunga ndoa hiyo imevunjwa rasmi na taratibu zote za kuivunja zimefuatwa na imetangazwa kanisani kuwa ile ndoa ilikuwa batili.