Rapunzel
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,079
- 599
jamani mbona mnashabikia kuvunjwa kwa ndoa hivi mmemuhuliza kama kuna matibabu yoyote alishawahi kuyafanya wangapi wanatibiwa na wanapona? au ripoti ya doctor inasema hana uwezo kabisa? leo kwake kesho kwako kam si wewe basi hata kizazi chako cha baadae, mwaya mwambie binamu yako amuhangaikie mumewe kama si hospital basi hata tiba mbadala.