Ndoa hizi zitatuua jamani!

Siwezi kutoka nae kwasababu ninakuwa sinaamani. Kwasababu hataki uangalie mwanamke yeyote.
.
Nawewe ningumu kuacha kuangalia neema za dunia hii?
Kifupi mwanamke mwenye wivu uliopitiliza hao huenda kuishia kua single mother.
Kuna namna isivyo wezekana kuyaepuka mazingira labda uwe uko juu kiroho.
 
Akipiga kelele kamata mchape nao πŸ†atatulia
 
hapa hautapata majibu unayotaka
 
Mtafutie kazi awe busy na kutafuta hela tuone kama atapata muda wa kugombana na majirani. Solution ndogo unatusumbua wazee wa kushauri
 
Duuu utadhani wewe ni mimi kabisa .nami ni copyright na wewe
 
Ukirudi home uzoee kupitia mlango wa nyuma ili asiendelee kukusumbua!
 
Dah.....kikawaida kwenye ndoa....miaka 10 ya kwanza mume anaongea mke anamsikiliza.....miaka 10 ya pili wote wanaongea na hawasikilizani.....miaka 10 inayofuata mke anaongea na mume anamuogopa... Hongera mkuu kwa kutimiza miaka 20 ya ndoa ....dah
 
Nachepuka ila sio sana, umeniacha njia panda, akisoma huu uzi nae atachepuka ila sio sana ili ngoma iwe draw. Tafakari kwa makini ili ujue chanzo cha tatizo ni nini! Imeandikwa ishi nao kwa kutumia akili. Labda nikuulize kaswali "wakati wa uchumba hukugundua hizo tabia?"
 
Washauri wa ndoa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bro nataka nikupe mwongozo bila kukuficha , ni hivi ke wa aina hyo siri ni moja tu.
Nenda gym, ukitoka kazi tamthilia achana nazo moja kwa moja kainue chuma, kula vizuri kabisa ,maji kwa wingi nimekupa miezi mitatu miraba ikaze vizuri . Muda huo ww poa tu kwa nyumba , usiwe msema mengi akija juu tulia tu .
Misuli ikishakaza mpaka kundule mechi fyeka, tena fyeka kweli , usijali majirani wanasikia au kitanda kitavunjika piga tu , isiwe kesi watoto wapeleke vacation kwa babu zao washinde kule .
Mke wa namna hii ukiimpa shughuli bila huruma , ata akimbie ni juu unaremjesha kitandani fimbo tu .
Ata kimya maisha yake yote , chenga zake huisha kabisa .
Miezi minne ijayo nipe mrejesho . Isipokwenda nnavyokwambia niite mbwa , npo hapa nyuma ya KFC mbezi , njoo gonga geti niite Mchopa ww ni mbwa. Nawasilisha.
 
Asante mkuu kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…