Ndoa iheshimiwe na watu wote.

Amen kaka............ naona kama ulisinzia then ukapata wazo na kuliweka hapa.......LOL
 
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyonavyo

hilo neno..., ubarikiwe sana.
 
"Upendo
huvumilia, hufadhili, upendo hausudu;
upendo hautabakari; haujivuni; haukosi
kuwa na adabu; hautafuti ambo yake;
hauoni uchungu hauhesabu mabaya
haufurahii udhalimu bali hufurahi pamoja
na kweli huvumilia yote; huamini yote
hutumaini yote hustahimili yote; upendo
haupungui neno wakati wo wote
 
Mkubwa nimeipenda hiyo ....
Ndoa na iheshimiwe na watu wote na ma-infed ... wa humu jamani heshimuni ndoa zenu! Muogopeni Mungu!
 
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyonavyo

Sawa mjomba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…