UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
Salaam!
Naandika kwa uchungu mkubwa sana, ila lazima niamue kweli yenyewe, decision must be made!
Kwanza natanguliza shukrani zangu zote kwake Heaven on earth kwa kunilea, kunipa hifadhi stahiki, kunijengeka na mengine mengi mazuri aliyoyafanya kwa ajili yangu, namshukuru sana Heaven on earth na nakupenda sana!
Maumivu ya kuachana na mpendwa wangu ni makubwa kiasi kwamba najiona kama ufahamu umenitoka vile! Nipo katika wakati mgumu sana, lakini ni muhimu kufanya maamuzi kwa ajili ya kujenga kesho bora! Naumia sana mwili na roho!
Ni jana tu nilikuwa nahangaika kumsaka mpendwa wangu wa moyoni Heaven on earth,niliweka rehani vitu vya thamani kubwa kwa ajili yake na hv leo ameibuka popote alipokuwa na kukiri kwa kinywa chake kuwa alikuwa amefichwa sehemu kwa ajili ya vunja jungu, na kwa kadhia hii nalazimika kumuweka huru maana nimeshindwa kuhimili mishemishe zake! Naomba pia kutumia nafasi hii kushukuru sana vyombo vyangu vya usalama wangu binafsi na washauri wangu wa masuala ya mahusiano kwa kunisaidia kupata taarifa zingine nyeti ambazo kwa heshima yake Heaven on earth nisingependa kuweka hadharani!
Popote uendako nakutakia kila lililo jema!
Nawashukuruni wote!
Wenu UNDENIABLE
Nakala hii imfikie shemeji yake mkubwa Himidini!
Naandika kwa uchungu mkubwa sana, ila lazima niamue kweli yenyewe, decision must be made!
Kwanza natanguliza shukrani zangu zote kwake Heaven on earth kwa kunilea, kunipa hifadhi stahiki, kunijengeka na mengine mengi mazuri aliyoyafanya kwa ajili yangu, namshukuru sana Heaven on earth na nakupenda sana!
Maumivu ya kuachana na mpendwa wangu ni makubwa kiasi kwamba najiona kama ufahamu umenitoka vile! Nipo katika wakati mgumu sana, lakini ni muhimu kufanya maamuzi kwa ajili ya kujenga kesho bora! Naumia sana mwili na roho!
Ni jana tu nilikuwa nahangaika kumsaka mpendwa wangu wa moyoni Heaven on earth,niliweka rehani vitu vya thamani kubwa kwa ajili yake na hv leo ameibuka popote alipokuwa na kukiri kwa kinywa chake kuwa alikuwa amefichwa sehemu kwa ajili ya vunja jungu, na kwa kadhia hii nalazimika kumuweka huru maana nimeshindwa kuhimili mishemishe zake! Naomba pia kutumia nafasi hii kushukuru sana vyombo vyangu vya usalama wangu binafsi na washauri wangu wa masuala ya mahusiano kwa kunisaidia kupata taarifa zingine nyeti ambazo kwa heshima yake Heaven on earth nisingependa kuweka hadharani!
Popote uendako nakutakia kila lililo jema!
Nawashukuruni wote!
Wenu UNDENIABLE
Nakala hii imfikie shemeji yake mkubwa Himidini!
Last edited by a moderator: