Kaka nipe muongozo wap nifafanue nipo tayar kuweka waz kila kitu,,mfano kutokana na haya madhila upendo wangu kwake umekwisha lakin nilikuwa navumilia sababu ya watoto hata sasa navumilia sababu ya watoto ni wadogo na mazingira ya kwao si mazur kwa watoto,,pili najua natambua kuwa lengo lao hata tukiachana kwa talaka wao hesabu zao ni fedha itayotolewa kwa ajili ya watoto, kutoa fedha kwa ajili ya matunzo ya watoto sio shida ila najua haitasaidia watoto zaid ya kujinufaisha wao ,,hapo ndio kichwa kinaumaMkuu hapa kama unataka kusaidiwa usifiche kitu eleza vzr watu wakusaidie
Busara lazma itumike, siwezi kuwa na mke anamkoremea mzazi wangu...Kama wako Yuko hivo nakupa pole sanaMama zetu pia sio wakamilifu ila nahisi ukipata mke utanielewa
Sio huruma kaka,,ni unishaur ni sheria gan au utaratibu gan ambao hata kama tutaachana Mahakaman either nibak na watoto kwa ustawi wa afya yao na maisha yao ila kama ikishindikana nipewe utaratibu wa kisheria utaonihakikishia usalama wa wanangu huko waendako! Nataman hata leo tuachane naumia watoto, cjui kama umenielewaBro pole.
Naomba nipate uhakika wa unachotaka.Ushauri au huruma yetu.Ukitaka ushauri tukupe kwa kuwa unaweza kuwa ni kinyume na utashi wako ukatuongeza ktk mgogoro
Mi nlishakubali maisha yaende huwa sijiumizi na hayo tena kwanza umri unanipelekaBusara lazma itumike, siwezi kuwa na mke anamkoremea mzazi wangu...Kama wako Yuko hivo nakupa pole sana
Asante kaka,,kama tutakaa kikao tena kitakuwa ni kikao cha tisa,kumuacha aende na watoto niko tayar tatizo ni mazingira ya hapo kwao! Watoto watateseka hawatahudumiwa ipasavyo,,najua hilo!! Hata hizo fedha pia ni kujinufaisha tu lakin hazitasaidia watoto!!Ushauri..
Weka kikao cha familia pande zote mbili muone mnatatuaje migogoro yenu na kama kuna uwezekano wa kusuluhisha..
Pakikosekana suluhu muache mkeo aende kwao, muache aende na watoto maana bado wadogo alafu utakuwa unawahudumia (kutoa matunzo)
Huyo mkeo anapewa kiburi na wazazi wake, ni ngumu sana kumrekebisha mwanamke wa hvyo maana anajua wazazi wake wapo watampokea na maisha yataenda.
Mkuu pole sana ila inawezekana pia una tatizo mahaliHabari za jumapili wapendwa
Hivi kunapotokea mgogoro baina ya wanandoa ambapo katika hiyo migogoro mke hapigwi wala hajatishiwa maisha,,baba mzaz wa mwanamke anaruhusiwa kwa utaratibu wa sheria ipi kunipeleka mahakaman mimi mume??
Pili baba mkwe anapomuhitaji binti yao lakin hasemi waz lengo wa kumuhitaj bint yao kama anavunja ndoa kabisa ama ana nia ya kwenda kumkanya mtoto wao wakati huo huo tuna watoto wadogo ambapo mimi kama baba wa familia sina iman na mazingira ambayo wataenda kuishi wanangu,naweza kutumia utaratibu gan wa kisheria wa ama wamchukue binti yao bila ya watoto yaani nibaki na watoto ili ataporud awakute watoto huku ninakoishi hapo izingatiwe kuna mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili??
Kutokana na migogoro hiyo ambapo wife amekuwa akinitishia kuwa atanikomoa kwa njia yoyote na ushahidi ninao hivo nililazimika kumuacha nyumbani kwetu na mimi kuishi mbali nae,lakin kila wiki huwa naenda kuwajulia hali na kupeleka mahitaji ,je naweza kushitakiwa kwa kosa gani hapo??
Mke wangu alitoa kauli kwamba mama yangu mzaz na yey ni kama mtu na mke mwenza,je naweza kumshitak kwa matusi hayo??
Baba mkwe amenipigia simu na kunitishia kwamba atakuja kuchukua familia yangu,,je akifanya hivo na mimi nikazuia yey kuondoka na watoto, ntakuwa na kosa lolote kisheria??
Naomba niwatakie siku njema naomba mnishaur kwa upendo,pale nilipokosea au sijaeleweka niko tayar kutoa ufafanuzi pia matus ruksa
Wana hiyo tabia sana!! Kuna ndoa kadhaa nimeona jins walivyoshirikiana wakamfilisi mme kila kitu, hlf baada ya muda wanaleta wazo la kurudiana, ikashindikana. Wanachuma wanapeleka hela kwao!!Ni kweli mkuu wazazi wengi wa kichaga wanapenda kuingilia ndoa za watoto wao, na huwapa kiburi fulani wanawake walioolewa.
Unaweza ukawa sahihi ndugu,,tatizo ni wazaz wanapoingilia!! Nnapotoa muongozo wangu wazaz wanaingilia kama hivi hali ambayo tunafikia hatua ya kutishiana maisha!! Lakin asante kwa ushaur wakoHaya mambo huwa yananipa moto sana ikiwa mwanaume unashindwa kabisa kuamua mustakabali was ndoa yako.
Kwakifupi hapo haujaoa, bali we we ndie umeolewa.
Yawezekana na ninayo saaana kwan mm c mkamilifu!!Mkuu pole sana ila inawezekana pia una tatizo mahali
Baba mkwe/mama mkwe hana mamlaka ya kuingilia chochote kwenye familia yako. Na hata ikibidi kuja tu kwako lazima upewe taarifa na pia ujue anakuja kufanya nini.Ni kutokana na taarifa ambazo amekuwa akipewa na mtoto wao ambapo cjui anachombiwa ni nini!!
Inategemea na tabia za huyo mama mkwe... Aeleze mama yake ana shida gani na mkwewe.... Wakwe wa sikuhizi we wasikie tuMkuu haya mambo ya migogoro ya ndoa Ninayoyashuhudia kwa marafiki hayanipi hamu kabisa ya kuoa...but ikitokea nimeoa mke wangu akaniambia kauli Kama ulivoambiwa..." Mama yako ni mke mwenza wangu" sijui sijui kitakachotokea.............
Mama hadi wewe humpendi mama mkwe?Inategemea na tabia za huyo mama mkwe... Aeleze mama yake ana shida gani na mkwewe.... Wakwe wa sikuhizi we wasikie tu
Duh hapa kweli Kuna shidaKaka kutokana na migogoro mke wangu aliwahi fika kazin kwangu na kueleza uongo ili awe anapewa nusu mshahara, baada ya kupangua hilo na ofisi kuthibitisha kuwa sio kweli! Lakin pia nimekuwa nikitishiwa nae kwa atanikomoa hali ambayo imepwlekea nikae nae mbali lakin akiwa nyumban kwetu na huduma zote anapata lakin ammekuwa mtu wa kuendeleza ugomvi huku akilazimisha kukaa pamoja ambapo hapo cjaua anajiandaa kunikomoa kwa njia gan.Baada ya hapo nilifatilia ili nijue kaanzaje kufika kazin ndipo nilithibitisha kuwa ni maagizo ya wazaz wake ambapo wazaz wake niliingia mgogoro nao baada ya kukataa kuwanunulia viti yaani sofa kwan hawakutimiza makubaliano
Hakuna mzazi anae ruhusiwa kuingilia chochote ndani ya ndoa yako ikiwa hauja fanya jinai.Unaweza ukawa sahihi ndugu,,tatizo ni wazaz wanapoingilia!! Nnapotoa muongozo wangu wazaz wanaingilia kama hivi hali ambayo tunafikia hatua ya kutishiana maisha!! Lakin asante kwa ushaur wako