ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

Pole sana dada huyo mumeo ametake advantage maana uliolewa ukiwa mdogo sana ana umri gani yeye si ajabu ni libaba lizima maana ameshaacha wake wawili.

My dear make up your mind mapema kuijali familia isiwe kigezo cha wewe kubaki than baadae utoe machozi, wewe bado mdogo u can start afresh na maisha yakawa swafi, songa mbele mdogo wangu mtoto mmoja hatakushinda, single parents tuko wengi sana na maisha tunayamudu bila vikwazo.
 
Pole sana mdogo wangu.

Achana na habari za kuvumilia, unavumilia kitu gani hapo. utapata maradhi na kisa cha kuishi maisha ya mashaka na mawazo ya kujitakia ni nini eti anakujali, kama hakuheshimu huko kujali kuna faisa gani. But seriously chukua hatua binti kama una proof ya umalaya wake is a good ground for divorce.
 

Mmhh leo unahitaji kupewa bonge ya offer la kinywajiiiiiiiiiiiiii

Mapoint haya kiboko
 
Nimepitia maoni mazuri ya wachangiaji
akili za wengine changanya na zako

Mvumilivu hula mbivu na baada ya mbivu huwa vimeoza
 

uko sawa kabisa,
kumbuka hii ni stori ya upande mmoja..Huwezi kujua mume wake na yeye ana stori gani kuhusiana na hili. Huenda akakwambia mama kazidisha mapenzi kwa mtoto, au haoneshi kujali, n.k. Kwa umri wake ni vyema ashirikishe wenye hekima ili waweze kupima mawazo toka pande zote ikibidi..
 
Kwa issue kama yako nisingefikilia mara mbili,hivi huyo mama anayekwambia uvumilie na ukipata gonjwa atakusaidiaje ?Ataweza hata kumlea mwanao wote mkiondoka ?
Yameshamfika haya ??
 
Mengi yamezungumzwa na wanajamii teyari,ila Muombe Mungu wako sana akunyoshee njia kwani shetani uwa anakujaribu lakini hakulazimishi kutenda dhambi......umeolewa binti mdogo sana.ivyo basi ni vizuri pia sababu umeshazaa nae huyo baba ukatafuta namna ya kumwelimisha Mume wako kuwa:
1.Wanaume wanaotembea na kila mwanamke wanaemwona ni ''Washamba''
2.Hakuna jamii inayofurahia kusikia mwanaume anatoka nje ya ndoa.
3.Hata kama unamwona yeye anapesa sana usimwogope.....mpe mfano huu''kwani hapa dar mwanaume mwenye pesa ni yeye tu?kuna watu wana pesa nyingi tu(nina uwakika yeye ni sisimizi tu-ukiringanisha na wengine) lakini uwezisikia wanafanya upuuzi huo.....
NB:Jipende,jiheshimu na muulize nini anataka kutoka kwako ili asiende nje na ufanye ivyo akisha kwambia-utaona mabadiriko coz yeye anamoyo wa kibinadamu lazima tu ataludi kwenye ndoa yenu.
 
Pole Dada!!! Kuvunja ndoa ni tatizo kama ni ndoa ya Kikristo... Cha muhimu OMBA sana kwa MUNGU kwani hakuna lisilowezekana kwake... Pole sana Dada.
 
yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
 
kimbia mdoho wangu!! MPE NAFASI AFANYE YOTE ANAYOPENDA labada baadaeataamua kutulia hapo urudi muishi pamoja tena..........
Miaka 23 hali hiyo ukifikisha 30 atakua kashakuzeesha kwa magonjwa ya mawazo kama vidonda vya tumbo, BP,sukari na hata wazimu!

Hakuna Mungua anayesema eti umvumilie mwenzi wako katika Uzinzi. Ninachojua ni uvumilivu katika maradhi, umaskini lakini uzinzi mmmmh!!
 
mbona hapo kwa umri wenu ungekuwa unakula bata maana wewe 23 yeye 45 kashaona mengi inakuaje,huyu ni tabia yake itakuwa ngumu kweli kumbadili usiache kumuombea lakini mwisho wa siku mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe.


yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
 

Dah pole sana. Japo hujasema umri wa mumeo, inawezekana naye ujana unamzonga. Usiende kwenu, kwani mkiachana ndo anaweza potea kabisa. Be strong, mkemee sana huku ukimuomba Mungu. Dunia hii, lucifer anataka kukamata kila mtu, ila kwa hekima ya Mungu wetu utashinda.
 
Isipokuwa hii point ya mwisho ambayo sikuifahamu, nafikiri hutopata ushauri mzuri zaidi ya huu pamoja na wa Nyamayao. Fikiri bado umdogo sana. Ukisema uvumilie na kama utaishi angalau miaka 60, maana yake mbele kuna miaka 37 ya kuvumilia. samahani kwa lugha ya ukali, lakini "hivi wewe huna kwenu?". Usijali pesa yake, usijali "ananijali" kwa pesa yake ya maudhi. Jali heshima yako, furaha yako, utu wako. Na ikiwa bado utang'angania hapo, ANGALAU ANZA KUTUMIA KONDOM, vyenginevyo.....usipoziba ufa utajenga ukuta.
 
mbona hapo kwa umri wenu ungekuwa unakula bata maana wewe 23 yeye 45 kashaona mengi inakuaje,huyu ni tabia yake itakuwa ngumu kweli kumbadili usiache kumuombea lakini mwisho wa siku mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe.

Wenye umri kubwa siku hizi tofauti na zamani wanakuwa na mapafu ya mbwa.

Kuna jamaa angu ana 50yrs huwa anapiga hati trick kwa siku yaani anamega wanawake 3 tofauti tofauti.
 
yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,

Hapo inabidi utumie nguvu ya ziada kumkimbia, 45 alafu bado anafanya upuuzi wake over my dead body khaaaaaa!
 
miss nora;

Kimbia haraka haya "mahusiano" - hayakufai hata kidogo, kwa sababu :-

1.. Wewe umeingia kwenye "mahusiano" ukiwa bado mdogo sana!

2.. Wewe umeingia kwenye "mahusiano" na mwanaume aliyekwisha haribikiwa!

3.. Kwa umri wako uliyoolewa yawezekana hata Darasa la Saba ulikuwa haujamaliza!

4.. Bado haujachelewa kuanza maisha mengine na mwanaume stahiki - wengine tumeoa wasichana wakiwa na miaka 33!

5.. Hata kama wazazi wako watakushauri uvumilie, waambie UKIMWI unaua, kwahiyo wasisubiri JENEZA!
 
huyo niwa kukimbia tu maana ndo imekula kwake hafai sasa atatulia mpaka mdada apate heart attack au inakuaje.


Wenye umri kubwa siku hizi tofauti na zamani wanakuwa na mapafu ya mbwa.

Kuna jamaa angu ana 50yrs huwa anapiga hati trick kwa siku yaani anamega wanawake 3 tofauti tofauti.
 
kweli mfumo dume unatusumbua sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…