ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

Pole sana dada huyo mumeo ametake advantage maana uliolewa ukiwa mdogo sana ana umri gani yeye si ajabu ni libaba lizima maana ameshaacha wake wawili.

My dear make up your mind mapema kuijali familia isiwe kigezo cha wewe kubaki than baadae utoe machozi, wewe bado mdogo u can start afresh na maisha yakawa swafi, songa mbele mdogo wangu mtoto mmoja hatakushinda, single parents tuko wengi sana na maisha tunayamudu bila vikwazo.
 
Pole sana mdogo wangu.

Achana na habari za kuvumilia, unavumilia kitu gani hapo. utapata maradhi na kisa cha kuishi maisha ya mashaka na mawazo ya kujitakia ni nini eti anakujali, kama hakuheshimu huko kujali kuna faisa gani. But seriously chukua hatua binti kama una proof ya umalaya wake is a good ground for divorce.
 
tukiijustify au tusiijustfy, cheating is there to stay! sasa ninachoongelea kwamba kwa mantiki ya kuumizana hisia cheating haikubaliki, lakini cheating hiyo hiyo inatumika kwa mantiki ya kutuliza hisia. kumbuka, hisia ndizo zinakutuma uowe au upende na hisia hizo hizo ndizo zinakutuma ucheat, sasa hapo ndio balaa!. All in all waaminifu ni wachache sana hii dunia ya leo, hapa JF usishangae pengine waaminifu tuko watatu tu, mimi, Mbu na Aspirin.

Mmhh leo unahitaji kupewa bonge ya offer la kinywajiiiiiiiiiiiiii

Mapoint haya kiboko
 
Nimepitia maoni mazuri ya wachangiaji
akili za wengine changanya na zako

Mvumilivu hula mbivu na baada ya mbivu huwa vimeoza
 
sasa hao ndio ma sterling wa hiyo "vumilia" utaambia kuolewa bahati mwanangu cjui wengine wanatafuta ndoa hawapati, cjui ki2 gani na ki2 gani so mwanangu wee vumilia tu, i hate hilo neno mpaka bac, nivumilie niifurahishe jamii huku nafc inalika?...kila kitu kina kiac jamni, hata uvumilivu una mwisho wake, kila ndoa uvumilivu unahitajika kiac kikubwa, huku ndani tunavumilia mengi ndio mana bado tunazo hizo ndoa, hakuna ndoa icyo na mapito lakini kila kitu kina kiac, mdada mtoa mada chekecha akili yako mapema hii, ukiamka kesho Mungu akujalie uwe umepembua hiyo akili na kujua unataka nn maishani au unataka kuishi nmaisha hayo hayo au unahitaji mabadilko....goodluck!

uko sawa kabisa,
kumbuka hii ni stori ya upande mmoja..Huwezi kujua mume wake na yeye ana stori gani kuhusiana na hili. Huenda akakwambia mama kazidisha mapenzi kwa mtoto, au haoneshi kujali, n.k. Kwa umri wake ni vyema ashirikishe wenye hekima ili waweze kupima mawazo toka pande zote ikibidi..
 
Kwa issue kama yako nisingefikilia mara mbili,hivi huyo mama anayekwambia uvumilie na ukipata gonjwa atakusaidiaje ?Ataweza hata kumlea mwanao wote mkiondoka ?
Yameshamfika haya ??
 
Mengi yamezungumzwa na wanajamii teyari,ila Muombe Mungu wako sana akunyoshee njia kwani shetani uwa anakujaribu lakini hakulazimishi kutenda dhambi......umeolewa binti mdogo sana.ivyo basi ni vizuri pia sababu umeshazaa nae huyo baba ukatafuta namna ya kumwelimisha Mume wako kuwa:
1.Wanaume wanaotembea na kila mwanamke wanaemwona ni ''Washamba''
2.Hakuna jamii inayofurahia kusikia mwanaume anatoka nje ya ndoa.
3.Hata kama unamwona yeye anapesa sana usimwogope.....mpe mfano huu''kwani hapa dar mwanaume mwenye pesa ni yeye tu?kuna watu wana pesa nyingi tu(nina uwakika yeye ni sisimizi tu-ukiringanisha na wengine) lakini uwezisikia wanafanya upuuzi huo.....
NB:Jipende,jiheshimu na muulize nini anataka kutoka kwako ili asiende nje na ufanye ivyo akisha kwambia-utaona mabadiriko coz yeye anamoyo wa kibinadamu lazima tu ataludi kwenye ndoa yenu.
 
Pole Dada!!! Kuvunja ndoa ni tatizo kama ni ndoa ya Kikristo... Cha muhimu OMBA sana kwa MUNGU kwani hakuna lisilowezekana kwake... Pole sana Dada.
 
yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
 
kimbia mdoho wangu!! MPE NAFASI AFANYE YOTE ANAYOPENDA labada baadaeataamua kutulia hapo urudi muishi pamoja tena..........
Miaka 23 hali hiyo ukifikisha 30 atakua kashakuzeesha kwa magonjwa ya mawazo kama vidonda vya tumbo, BP,sukari na hata wazimu!

Hakuna Mungua anayesema eti umvumilie mwenzi wako katika Uzinzi. Ninachojua ni uvumilivu katika maradhi, umaskini lakini uzinzi mmmmh!!
 
mbona hapo kwa umri wenu ungekuwa unakula bata maana wewe 23 yeye 45 kashaona mengi inakuaje,huyu ni tabia yake itakuwa ngumu kweli kumbadili usiache kumuombea lakini mwisho wa siku mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe.


yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
 
habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla yangu na wakaachan akidai hawafai walikuwa na tabia mbaya

ameshanisaliti mara nyingi sana mpk sasa na ushahidi nikapata lkn aliomba msamaha coz nlikuwa bdo nampenda tukaendelea na maisha,,

hivi sasa kanikataza kushika simu yake yaani tunagombana kila siku, kuna siku nilikuta kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa nilipomuuliza ni nani tuligombana cna akadai ni mama wa mtoto wake,, lakini nilichunguza nikakuta ni uongo kwani namba ya mzazni mwenzake naijua na hawezi kumuita mpenzi kwani huyo mzazi mwenzake keshaolewa,,

nilimpigia huyo binti nikamuuliza yeye ni nani lakini matokeo yake alinitukana akaniambia sijaona wanaume nini???akasema yy hakumtongoza mume wangu bli mume wangu ndiye aliyemtongoza kiukweli niliumia cna nikalia mpaka nikachoka,,nikataka nirudi kwetu lakini nikaenda kwa mama mmoja rafiki wa familia akanishauri nisiondoke nikae nivumilie,,
kwa upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,,
natamani hata nitoke jne coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.

Dah pole sana. Japo hujasema umri wa mumeo, inawezekana naye ujana unamzonga. Usiende kwenu, kwani mkiachana ndo anaweza potea kabisa. Be strong, mkemee sana huku ukimuomba Mungu. Dunia hii, lucifer anataka kukamata kila mtu, ila kwa hekima ya Mungu wetu utashinda.
 
wale wanaosema avumilie: Hivi mpaka apelekewe kile kirusi chenye herufi tatu ndio mtamshauri atimue?

Ushauri wangu:
-achana na hiyo ndoa haraka iwezekanavyo, as per ur story, hiyo njemba tayari ina historia mbovu so hauwezi kumbadilisha wewe. Ulikosea in the first approach lakini hauwezi kurejesha kalenda nyuma.
-Hiyo njemba kuna weakness amegundua kwako na anaiabyuzi hiyo weakness. think abt it!
-Achana na sjui anajali jamaa zako sijui anakupeleka shopping blah blah blah, as long as hajali hisia zako, He is useless. kilichowakutanisha ni hisia na sio kutembelea shangazi na mjomba.
-am sure hapo ulipo umeanza kunyonyoka manywele kwa stress, sasa whats the point?

NB: kujali hisia za mwenza ni muhimu hata kama unacheat.

-----------------------THE END-------------------
Isipokuwa hii point ya mwisho ambayo sikuifahamu, nafikiri hutopata ushauri mzuri zaidi ya huu pamoja na wa Nyamayao. Fikiri bado umdogo sana. Ukisema uvumilie na kama utaishi angalau miaka 60, maana yake mbele kuna miaka 37 ya kuvumilia. samahani kwa lugha ya ukali, lakini "hivi wewe huna kwenu?". Usijali pesa yake, usijali "ananijali" kwa pesa yake ya maudhi. Jali heshima yako, furaha yako, utu wako. Na ikiwa bado utang'angania hapo, ANGALAU ANZA KUTUMIA KONDOM, vyenginevyo.....usipoziba ufa utajenga ukuta.
 
mbona hapo kwa umri wenu ungekuwa unakula bata maana wewe 23 yeye 45 kashaona mengi inakuaje,huyu ni tabia yake itakuwa ngumu kweli kumbadili usiache kumuombea lakini mwisho wa siku mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe.

Wenye umri kubwa siku hizi tofauti na zamani wanakuwa na mapafu ya mbwa.

Kuna jamaa angu ana 50yrs huwa anapiga hati trick kwa siku yaani anamega wanawake 3 tofauti tofauti.
 
miss nora;

Kimbia haraka haya "mahusiano" - hayakufai hata kidogo, kwa sababu :-

1.. Wewe umeingia kwenye "mahusiano" ukiwa bado mdogo sana!

2.. Wewe umeingia kwenye "mahusiano" na mwanaume aliyekwisha haribikiwa!

3.. Kwa umri wako uliyoolewa yawezekana hata Darasa la Saba ulikuwa haujamaliza!

4.. Bado haujachelewa kuanza maisha mengine na mwanaume stahiki - wengine tumeoa wasichana wakiwa na miaka 33!

5.. Hata kama wazazi wako watakushauri uvumilie, waambie UKIMWI unaua, kwahiyo wasisubiri JENEZA!
 
huyo niwa kukimbia tu maana ndo imekula kwake hafai sasa atatulia mpaka mdada apate heart attack au inakuaje.


Wenye umri kubwa siku hizi tofauti na zamani wanakuwa na mapafu ya mbwa.

Kuna jamaa angu ana 50yrs huwa anapiga hati trick kwa siku yaani anamega wanawake 3 tofauti tofauti.
 
kama hii thread ingekuwa imeanzishwa na mwanaume...... Wanachama wake kwa waume humu tungeshauri 'mbwage, kimbia kimeo ect'.

Hii vumilia vumilia tunayoshauriana is so relative, mwanaume malaya unamvumiliaje?

Za kuambiwa changanya na zako bidada, una umri mdogo sana kufa kwa maradhi ya kuletewa.
kweli mfumo dume unatusumbua sana!
 
Back
Top Bottom