USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Ndoa ni jambo jema hakua jambo zuri ambalo halihitaji akili sio kila mmoja anaweza ndoa ,kuna mataifa viongozi hupimwa kwa ndoa kama huwezi kuhadle ndoa utaweza kumuongoza nani ?.
Ndoa ni sanaa hakuna sanaa bila akili ,ndoa huhitaji kufikiri kila siku ,kila saa wapi na nini nifanye inahitaji updates zisizo na ukomo
Sizingumziii akili za darasani hapa ni akili za kitaa.
Wale kataa ndoa waje wasome waelewe.
USSR
Ndoa ni sanaa hakuna sanaa bila akili ,ndoa huhitaji kufikiri kila siku ,kila saa wapi na nini nifanye inahitaji updates zisizo na ukomo
Sizingumziii akili za darasani hapa ni akili za kitaa.
Wale kataa ndoa waje wasome waelewe.
USSR