OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
JF Dokta ndio jukwaa makini kuliko yote JF.Jamani mpangaji wangu ameniletea kesi ya ajabu sana.Huwezi amini anavyoishi vizuri na mkewe kwa nje.Lakini hakuna amani kuna utulivu tu.Jamaa anasema mkewe hajampa unyumba mwezi wa 6 huu.Anasema uke wake mdogo sana,kiasi cha kumletea maumivu wakati wa tendo.Mda mwingine analazimisha tendo anaachiwa,lakini kinafata kilio mpaka anachomoa mwenyewe.Jamaa nikamuuliza pengine ana uume mkubwa,hapana!Sasa wadau nini tiba au jinsi gani ya kupunguza tatizo