Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda siyo mzazi, ndiyo maana unaongea hivyo. Wewe wazia una kijana wako ana miaka 29, halafu anabebana na limama rika sawa na wewe.Hakuna formula ya maisha kama wanapendana sawa.
Unaoa mtu ambaye ni post-menopousal..biashara hii.
Ukabambe upo wapi? Mi sijauona!Msanii maarufu wa nyimbo za Injili nchini Kenya Guardian Angel mwenye umri wa miaka 30, amemvalisha Pete ya uchumba mpenzi wake Esther Musila mwenye umri wa miaka 51,
Bi Esther Musila ni Mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa UN wa kipindi kirefu
Esther Musila yupo kama Kijana tu, anafanya sana Mazoezi.View attachment 1798466View attachment 1798467View attachment 1798468
Hawa nyanya wa siku hizi ambao wana pesa wanapigwa plastic surgery. Yaani wanakwenda USA kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha ngozi na kuwafanya kufanana kama wasichana wadogo. Huko USA kuna nyanya wengi wanafanana kama wasichana. Hata nyonyo anaongezewa kabisa inasimama kama bendera ya taifa. Ukiona mat*ti yake unadhani ni msichana mdogo kumbe ni gari nzee lililochakaa.Hii ngoma kama hujaomeshwa cheti chake cha kuzaliwa ni ngumu kukubali kama yuko 51(fifte wan)
Mi kama 30+ na ngom fulani hv.
“Eat and drink whatever you like, don't allow motivational speakers deceive you.”Esther Musila yupo kama Kijana tu, anafanya sana Mazoezi Ila Kuna Pipo wapo blessed imagine Zari kazaa watoto 5 lakini kama Mwali vile.
Ahh!! Kama ni hivyo nakula tu, miaka ipo mifupani huko na cheti cha kuzaliwa [emoji23]Hawa nyanya wa siku hizi ambao wana pesa wanapigwa plastic surgery. Yaani wanakwenda USA kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha ngozi na kuwafanya kufanana kama wasichana wadogo. Huko USA kuna nyanya wengi wanafanana kama wasichana. Hata nyonyo anaongezewa kabisa inasimama kama bendera ya taifa. Ukiona mat*ti yake unadhani ni msichana mdogo kumbe ni gari nzee lililochakaa.