Research Solutions TZ
Member
- Jul 11, 2020
- 66
- 145
Ipo hivi watu wakifunga ndoa hutangazwa kuwa ni Mwili mmoja, au kitu kimoja, kwa maana maamuzi sasa yanataka concer ya wote wawili.
Lakini mwanamke akifa kwenye ndoa, na mwanaume akiwa hai, hakutakuwa na ugomvi wa mali, kwa kuwa mali hazitakuwa na mpango wa kuganywa.
Lakini akifa mwanaume basi kila kitu kitagawanya hata kama mwanamke yuko hai
Hii inaonyesha kwamba wanandoa sio mwili mmoja ndo maana akifa mwanaume kuna kuwa na shida na sio mwanamke, au mwanamke sio sehemu kuu ya ndoa.
Hili ni kosa kubwa na huwa linawaumiza sana wanawake hasa walioshindwa kupata watoto katika ndoa zao.
Hapa natoa wito kwa ustawi wa jamii kuangalia swala hili ili iwe hata mirathi isiandikwe na mwanaume, bali iandikwe na wanandoa kwa umoja wao. Ili kutoa mamlaka kwa mtu mmoja huku mnasema kuwa wao ni kimoja.
Nawasilisha
Lakini mwanamke akifa kwenye ndoa, na mwanaume akiwa hai, hakutakuwa na ugomvi wa mali, kwa kuwa mali hazitakuwa na mpango wa kuganywa.
Lakini akifa mwanaume basi kila kitu kitagawanya hata kama mwanamke yuko hai
Hii inaonyesha kwamba wanandoa sio mwili mmoja ndo maana akifa mwanaume kuna kuwa na shida na sio mwanamke, au mwanamke sio sehemu kuu ya ndoa.
Hili ni kosa kubwa na huwa linawaumiza sana wanawake hasa walioshindwa kupata watoto katika ndoa zao.
Hapa natoa wito kwa ustawi wa jamii kuangalia swala hili ili iwe hata mirathi isiandikwe na mwanaume, bali iandikwe na wanandoa kwa umoja wao. Ili kutoa mamlaka kwa mtu mmoja huku mnasema kuwa wao ni kimoja.
Nawasilisha