Hiyo picha yako nimeipenda, tufunge ndoa basi πHaina shida π€
Huko ndani hakutakua na Mkanganyiko πHiyo picha yako nimeipenda, tufunge ndoa basi π
Hizo hips zitanituliza tu, kuhusu pesa ninazo mke ndo sina!Huko ndani hakutakua na Mkanganyiko π
Mimi napenda pesa nyingi hutaniweza π π πHizo hips zitanituliza tu, kuhusu pesa ninazo mke ndo sina!
Usichezee bahati mumama π
Dawa yao ni kuwa kama Hakim. Mali zako zote anamiliki mama yako, siku akikuach anakuta hata viatu ulivyo vaa vinamilikiwa na mama yako.Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa wanawake nchini marekani, haimaanishi ukiolewa na tajiri ndio uondoke na mali zake punde mkiachana nataka nikomeshe tabia hii kwamba mkiachana kuna kiasi tu itabidi upewe na hakuna sababu ya kusema ni kidogo kwakua hukuhangaikia, kama unahisi huwezi kuwalea watoto basi niachie mimi niwaleee.
-Donald Trump, Rais wa Marekani.
mke wa jeffKati ya wanaume waliokombwa mali duniani kupitia talaka hakuna anayemfikia Jeff Bezos. Yule mwanamke aliondoka billionaire sio mchezo.
Kwenye uapisho wa Trump alikuwa na mwingine (Sanchez); miaka mitatu ijayo sijui naye ataondoka na billions ngapi! Wanampiga kweli kweli.