Ndoa! Ndoa! Naomba mawazo na ushauri wenu katika hili

Ndoa! Ndoa! Naomba mawazo na ushauri wenu katika hili

Makosa ni yako.
Mkeo ana dharau inawezekana hii Dharau ya Mkeo wewe ndo umeifanya.
Umekaa na Mkeo mpaka mimba mtoto ulitegemea aende lini kumuona Mama yako Mzazi.
Mama yako Mzazi na umri wake aliokuwa nao apange safari kwenda kumuona Mke wako muda wote alikuwa wapi? Kama siyo Dharau

Kosa lingine kabla ya huyo Mkeo kuanza kukaa naye Ulitakiwa umpeleke kwa wazazi wako wakae naye wiki 1 awasaidie kazi wazazi. Mama yako wala asingekuwa na maneno ya kumsema huyo Mkeo
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Unasumbuliwa na vitu vidogo Mkuu.

Huna haja ya kubadilisha dini ndio uoe.
Unachotakiwa ni kuwa na akili na mtazamo wa mwanaume.

Wewe ni muafrika basi kuwa kama African Man.
OA utakavyo, usipangiwe na Dini za kigeni, hizo zichukulie kama Club za mpira tuu.
Waafrika tunanamna yetu ya ku-act.

OA mwanamke lakini kabla hujaoa hakikisha unaakili na mitazamo ya kiume.
Kingine mwanamke akiondoka kwako kamwe USIMFUATE WALA kumtafuta
Soma hapa[emoji117][emoji117][emoji117]Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute
Asee nimekuwa mdau sana wa kusoma nyuzi zako huu nilikuwa sijawahi usoma..umeandika vyema sana.Kongole kwako
 
Makosa ni yako.
Mkeo ana dharau inawezekana hii Dharau ya Mkeo wewe ndo umeifanya.
Umekaa na Mkeo mpaka mimba mtoto ulitegemea aende lini kumuona Mama yako Mzazi.
Mama yako Mzazi na umri wake aliokuwa nao apange safari kwenda kumuona Mke wako muda wote alikuwa wapi? Kama siyo Dharau

Kosa lingine kabla ya huyo Mkeo kuanza kukaa naye Ulitakiwa umpeleke kwa wazazi wako wakae naye wiki 1 awasaidie kazi wazazi. Mama yako wala asingekuwa na maneno ya kumsema huyo Mkeo
Nafikiri hapa umesema kimhemko zaidi,nimpelekee asaidie kazi kwa muda upi, mazingira ya familia nayaelewa mimi na muda wa kwenda nae ulikuwa tayari kwenye ratiba..kama umesoma vzri apo juu ni wao wazazi ndio walianza kutupiana maneno wala siyo mimi na wife...Na mama aliforce mwenyewe kuja DSM kumwona mjukuu wako coz ndio mjukuu wake wa kwanza toka kwangu.Aseeh!wewe wanawake wasikie tu,,,
 
Habari yenu wa Jf, bila shaka kila moja anaendelea na harakati zake za kila siku.. It's Fine.

Huu uzi wajuvi mbalimbali na wazee wa busara naomba mpitie kwa makini sana nahitaji maneno(mawaidha) yenu kwa busara tu.

Nilioa mwanamke kutoka iringa na tayari ana mtoto mmoja (Daughter)1+ age.

Sasa katika kuishi nae huyu mwanamke kukatokea sitofahamu moja ambayo Wazazi hasa mkwe wangu na mama yangu mzazi ni wahusika. Ilikuwaje!!

Kipindi namwoa huyu mwanamke kuna taratibu hazikufanyika ili tuweze kufunga ndoa ,nilichokifanya tulienda na Baba yangu mimi huko iringa(ukweni) tukazungumza mambo yakawa sawa na mahali nusu nikatoa hivyo nikaondoka na mke wangu,

Baada ya muda kitambo,My Mama aliomba no za mkwe wangu huyo (mama mkwe ni mjane)alipomtafuta wakawa hawajaingia vizuri wakaanza kutupiana maneno huyu anasema hiki huyu hiki.

Mama yangu akawa anadai nilikosea kuoa huko Iringa(kwa wabena) mara aseme mke hafai na wote na mama yake hajapendezwa nao kiufupi kukawa na maneno sana.

Mimi nilitumia busara baada ya kufikishiwa hizo tuhuma nikamwambia Wife tuachane na maneno hayo tunaoishi ni sisi siyo wao wazazi
Wife hakuweza kuelewa akaendelea kusema " Mimi nitaishije na wewe ilihali mama yako ananitukana ananisema kwa hiki na kile kuwa sifai".. nikimwelewesha haelewi.Ma mkwe nae vivyo hivyo ikawa ni maneno tu both side.

Mama yangu alikuja kututembelea hapa DSM na kumwona mjukuu wake pamoja na mke wangu, kwa maana hakuwa kuwaona isipokuwa Baba tu niliyeenda nae Ukweni kabla.

Mama alivyofika nae amekaa siku kadhaa tu maneno yakaanza "Mke wako hana ukarimu,haifai ,lea mtoto tu alikua umchukue hapo hujaoa bado"....na maneno mengine mengi tu kama mnavyowafahamu wanawake, Najitahidi kufupisha tu.

Sasa basi baada ya miezi kama miwili kupita , Kwakuwa Dada yake mke wangu nae kaolewa anaishi Dsm na mimi nipo Dsm pia, ila aliugua kidgo akawa ameenda home kwao..lakini hali haikuwa shwari wakalazimika kurudi mjini tena kwaajili ya vipimo hivyo basi aliandamana na Mama yake wakaja wote,

Kwakuwa mama mkwe nae alikuja huku kumguza mwanae(Dada mtu) nikaona siyo mbaya tukawasilimie..fuuu hao na mke wangu tukaenda kusalimia mimi nikarudi kazini mke wangu akalala huko siku mbili then alirudi.

Baada,ya mama mkwe kukaa almost mwezi mzima APA DSM huko kwa Shemeji yangu ,ikawa siku moja yapata Mida ya saa 12 asubuhi akapiga simu akidai ya kwamba nimruhusu mke wangu aende huko wakaagane yeye arudi Njombe.

Aseeh!nilimruhusu aende ,cha kushangaza ikipita siku ya kwanza hajarudi na aliniacha nikiwa na homa kali ya malaria ,zikapita siku 4 hajarudi,Napiga cm kwa ma mkwe nikijua karudi Njombe,kumbe bado yupo DSM,mke wangu nae namuuliza ishu ya kurudi hataki kumbe walipanga waondokee huko huko waliko hadi Mbezi Bus Terminal,

Mimi nilichukua jukumu la kumfuata mke wangu,kwa kuwa nilikuwa na shift ya usiku kazini nilifika huko jioni sana nikamwambia Wife ajiandae yeye na mtoto tuondoke niwahi kazini ,akabaki ananiangalia tu

Ma mkwe akadai ya kwamba anaondoka na binti yake kutokana na maneno hayo yaliyopo baina ya Wazazi wetu (hasa Mama) akidai pia siwasaidii kifedha ukweni na mambo mengine mengi (wanawake wanaongea mno) ,Nilimzuia mke wangu kuondoka hadi ukatokea ugomvi hapo..niliondoka nikiwa na hasira sana kurudi kazini ,kesho yake napiga simu wanadai tayari wapo Mikumi way to Njombe (alitoroka na binti yake pamoja na mwanangu).

Wameenda huko yapata wam mitatu sasa wanadai kutokana na maneno hayo hatuwezi ishi pamoja .nikitumia busara Baba na mama nao wanakuja juu wakisema niachane na huyo mwanamke nikawajibu "Mbona mnanipangia mtu wa kuoa na kuishi nae,anakaa na familia ni mimi kulikoni" yote hayo wazazi hawaelewi wanashinikiza nimwache hivyo hivyo na upande wa pili nao ukweni wanadai hatuwezi ishi pamoja kutokana na tofauti za wazazi zilizojitokeza..

Kimsingi mimi sikutaka kabisa mwanangu akose malezi ya Baba au akue katika mazingira kama hayo ya kutokuwaona wazazi wote kwa kweli ilinipa wakati mgumu sana japo kwa sasa nimezoea hali.

Nilichopanga kukifanyia maamuzi ni hiki hapa chini[emoji116][emoji116] na ndicho nahitaji busara zenu katika hili msije kuponda ama kutoa maneno ya kejeli na lugha mbaya la hasha nahitaji ushauri tu .

Mimi ni mkristo ila napanga nibadili kabisa na Dini niwe Islamic na hapo baadaye nikija kuoa nitao mwanamke Islamic( Ila wazazi hawataki kusikia hilo)
Pili,huyo mwanamke ambaye tayari tulianza maisha na kuwa na mtoto nimwache ,niendelee kutuma matumizi ya mtoto tu na akifika umri wa shule nitampeleka shule wala hakuna shida kwa maana ata mama yake anasema niendelee kulea mtoto.

Tatu, Nataka niwe na maamuzi yangu pekee hatakama wazazi hawataki nitafanya ninachoona mimi kuhusu hili jambo ambapo cha msingi nabadili dini nikiwa na utimamu wa akili kabisa na kwa sababu zangu nyingi tu nilizofanyia uchunguzi nahamia Uisilamu, na sitotaka mzazi aniingilie tena kwenye hilo suala na kama kuna Viongozi hapa wa Islamic wazuri naomba aje pm nahitaji mwongozo mzuri .

Lakini pia, kingine nataka kujua kwakua nitakuwa muislamu ndoa nayo itafungwa kwa misingi ya imani hiyo mpya na mwanamke nitaoa Islamic ,Je wazazi hawataki hilo jambo ndoa yangu itawezekanika kufungwa pasipo wazazi wangu kuridhia ..Naomba sana busara zenu katika hili

Asanteni,Nasubiri michango yenu katika hili.
Dini haisuani na matatizo. Labda upate muda wkutafakari zaidi nn cha kufanya.
 
Ugomvi na wazazi tu unaamua kubadili na dini? Kweli? Kama dini haihusiani imekuaje ukaiweka kwenye hii mada?inaonekana mambo ya kifamilia ndio key point unless otherwise ungeelezea hizo unazosema ni motives behind your decision... unaonekana hujakua bado kijana take things easy be calm ujana unakusumbua bado
 
Ata hivyo, ulichumbia familia ya kishenzi.

Ungemuuliza mama yako chanzo cha matatizo yote pengine ungemuelewa.
 
M
Habari yenu wa Jf, bila shaka kila moja anaendelea na harakati zake za kila siku.. It's Fine.

Huu uzi wajuvi mbalimbali na wazee wa busara naomba mpitie kwa makini sana nahitaji maneno(mawaidha) yenu kwa busara tu.

Nilioa mwanamke kutoka iringa na tayari ana mtoto mmoja (Daughter)1+ age.

Sasa katika kuishi nae huyu mwanamke kukatokea sitofahamu moja ambayo Wazazi hasa mkwe wangu na mama yangu mzazi ni wahusika. Ilikuwaje!!

Kipindi namwoa huyu mwanamke kuna taratibu hazikufanyika ili tuweze kufunga ndoa ,nilichokifanya tulienda na Baba yangu mimi huko iringa(ukweni) tukazungumza mambo yakawa sawa na mahali nusu nikatoa hivyo nikaondoka na mke wangu,

Baada ya muda kitambo,My Mama aliomba no za mkwe wangu huyo (mama mkwe ni mjane)alipomtafuta wakawa hawajaingia vizuri wakaanza kutupiana maneno huyu anasema hiki huyu hiki.

Mama yangu akawa anadai nilikosea kuoa huko Iringa(kwa wabena) mara aseme mke hafai na wote na mama yake hajapendezwa nao kiufupi kukawa na maneno sana.

Mimi nilitumia busara baada ya kufikishiwa hizo tuhuma nikamwambia Wife tuachane na maneno hayo tunaoishi ni sisi siyo wao wazazi.

Wife hakuweza kuelewa akaendelea kusema " Mimi nitaishije na wewe ilihali mama yako ananitukana ananisema kwa hiki na kile kuwa sifai".. nikimwelewesha haelewi.Ma mkwe nae vivyo hivyo ikawa ni maneno tu both side.

Mama yangu alikuja kututembelea hapa DSM na kumwona mjukuu wake pamoja na mke wangu, kwa maana hakuwa kuwaona isipokuwa Baba tu niliyeenda nae Ukweni kabla.

Mama alivyofika nae amekaa siku kadhaa tu maneno yakaanza "Mke wako hana ukarimu,haifai ,lea mtoto tu alikua umchukue hapo hujaoa bado"....na maneno mengine mengi tu kama mnavyowafahamu wanawake, Najitahidi kufupisha tu.

Sasa basi baada ya miezi kama miwili kupita , Kwakuwa Dada yake mke wangu nae kaolewa anaishi Dsm na mimi nipo Dsm pia, ila aliugua kidgo akawa ameenda home kwao..lakini hali haikuwa shwari wakalazimika kurudi mjini tena kwaajili ya vipimo hivyo basi aliandamana na Mama yake wakaja wote,

Kwakuwa mama mkwe nae alikuja huku kumguza mwanae(Dada mtu) nikaona siyo mbaya tukawasilimie..fuuu hao na mke wangu tukaenda kusalimia mimi nikarudi kazini mke wangu akalala huko siku mbili then alirudi.

Baada,ya mama mkwe kukaa almost mwezi mzima APA DSM huko kwa Shemeji yangu ,ikawa siku moja yapata Mida ya saa 12 asubuhi akapiga simu akidai ya kwamba nimruhusu mke wangu aende huko wakaagane yeye arudi Njombe.

Aseeh!nilimruhusu aende ,cha kushangaza ikipita siku ya kwanza hajarudi na aliniacha nikiwa na homa kali ya malaria ,zikapita siku 4 hajarudi,Napiga cm kwa ma mkwe nikijua karudi Njombe,kumbe bado yupo DSM,mke wangu nae namuuliza ishu ya kurudi hataki kumbe walipanga waondokee huko huko waliko hadi Mbezi Bus Terminal,

Mimi nilichukua jukumu la kumfuata mke wangu,kwa kuwa nilikuwa na shift ya usiku kazini nilifika huko jioni sana nikamwambia Wife ajiandae yeye na mtoto tuondoke niwahi kazini ,akabaki ananiangalia tu

Ma mkwe akadai ya kwamba anaondoka na binti yake kutokana na maneno hayo yaliyopo baina ya Wazazi wetu (hasa Mama) akidai pia siwasaidii kifedha ukweni na mambo mengine mengi (wanawake wanaongea mno) ,Nilimzuia mke wangu kuondoka hadi ukatokea ugomvi hapo..niliondoka nikiwa na hasira sana kurudi kazini ,kesho yake napiga simu wanadai tayari wapo Mikumi way to Njombe (alitoroka na binti yake pamoja na mwanangu).

Wameenda huko yapata wam mitatu sasa wanadai kutokana na maneno hayo hatuwezi ishi pamoja .nikitumia busara Baba na mama nao wanakuja juu wakisema niachane na huyo mwanamke nikawajibu "Mbona mnanipangia mtu wa kuoa na kuishi nae,anakaa na familia ni mimi kulikoni" yote hayo wazazi hawaelewi wanashinikiza nimwache hivyo hivyo na upande wa pili nao ukweni wanadai hatuwezi ishi pamoja kutokana na tofauti za wazazi zilizojitokeza..

Kimsingi mimi sikutaka kabisa mwanangu akose malezi ya Baba au akue katika mazingira kama hayo ya kutokuwaona wazazi wote kwa kweli ilinipa wakati mgumu sana japo kwa sasa nimezoea hali.

Nilichopanga kukifanyia maamuzi ni hiki hapa chini[emoji116][emoji116] na ndicho nahitaji busara zenu katika hili msije kuponda ama kutoa maneno ya kejeli na lugha mbaya la hasha nahitaji ushauri tu .

Mimi ni mkristo ila napanga nibadili kabisa na Dini niwe Islamic na hapo baadaye nikija kuoa nitao mwanamke Islamic( Ila wazazi hawataki kusikia hilo).

Pili,huyo mwanamke ambaye tayari tulianza maisha na kuwa na mtoto nimwache ,niendelee kutuma matumizi ya mtoto tu na akifika umri wa shule nitampeleka shule wala hakuna shida kwa maana ata mama yake anasema niendelee kulea mtoto.

Tatu, Nataka niwe na maamuzi yangu pekee hatakama wazazi hawataki nitafanya ninachoona mimi kuhusu hili jambo ambapo cha msingi nabadili dini nikiwa na utimamu wa akili kabisa na kwa sababu zangu nyingi tu nilizofanyia uchunguzi nahamia Uisilamu, na sitotaka mzazi aniingilie tena kwenye hilo suala na kama kuna Viongozi hapa wa Islamic wazuri naomba aje pm nahitaji mwongozo mzuri .

Lakini pia, kingine nataka kujua kwakua nitakuwa muislamu ndoa nayo itafungwa kwa misingi ya imani hiyo mpya na mwanamke nitaoa Islamic ,Je wazazi hawataki hilo jambo ndoa yangu itawezekanika kufungwa pasipo wazazi wangu kuridhia ..Naomba sana busara zenu katika hili

Asanteni,Nasubiri michango yenu katika hili.
Mwongozo wa kubadili dini nenda msikiti ulio karibu na wewe watakuongoza [mwongozo ni kutamka kwa ulimi na kukiri kwa moyo kuwa HAKUNA MUNGU ANAYEPASA KUABUDIWA KWA HAKI ILA NI ALLAH PEKEE ALIYETUKUKA, ASIYE NA MSHIRIKA KATIKA UUNGU WAKE, BWANA WA VIUMBE VYOTE NA MUHAMMAD NDIYE MJUMBE WAKE]

KUKIRI KWA MOYO maana yake kuwa na yakini na kuyaishi hayo!!!! MUHAMMAD ni Mtume wa mwisho na baada yake hakuna Mtume mwingine atakayekuja. Aidha, kabla yake wamepita manabii na mitume wengi kuanzia Adam, mpaka Issah Rehema ba Amani ziwe juu yao wote....
 
Ungekuwa wazi tu kuwa kuna pisikali ya kiislam imekuvutia ila imekupa condition ya wewe kuwa mwislam
 
Kuna kipindi nilishawahi kua mbishi hivi hivi...yaliyonikuta Mungu tu ndo alisaidia..point ya msingi wazazi ni mungu wa duniani wasikilize na uwaheshimu oima wanachokuambia maana kimsingi hakuna mzazi anaemtakia mwanae mabaya..😀😀😀
 
Habari yenu wa Jf, bila shaka kila moja anaendelea na harakati zake za kila siku.. It's Fine.

Huu uzi wajuvi mbalimbali na wazee wa busara naomba mpitie kwa makini sana nahitaji maneno(mawaidha) yenu kwa busara tu.

Nilioa mwanamke kutoka iringa na tayari ana mtoto mmoja (Daughter)1+ age.

Sasa katika kuishi nae huyu mwanamke kukatokea sitofahamu moja ambayo Wazazi hasa mkwe wangu na mama yangu mzazi ni wahusika. Ilikuwaje!!

Kipindi namwoa huyu mwanamke kuna taratibu hazikufanyika ili tuweze kufunga ndoa ,nilichokifanya tulienda na Baba yangu mimi huko iringa(ukweni) tukazungumza mambo yakawa sawa na mahali nusu nikatoa hivyo nikaondoka na mke wangu,

Baada ya muda kitambo,My Mama aliomba no za mkwe wangu huyo (mama mkwe ni mjane)alipomtafuta wakawa hawajaingia vizuri wakaanza kutupiana maneno huyu anasema hiki huyu hiki.

Mama yangu akawa anadai nilikosea kuoa huko Iringa(kwa wabena) mara aseme mke hafai na wote na mama yake hajapendezwa nao kiufupi kukawa na maneno sana.

Mimi nilitumia busara baada ya kufikishiwa hizo tuhuma nikamwambia Wife tuachane na maneno hayo tunaoishi ni sisi siyo wao wazazi.

Wife hakuweza kuelewa akaendelea kusema " Mimi nitaishije na wewe ilihali mama yako ananitukana ananisema kwa hiki na kile kuwa sifai".. nikimwelewesha haelewi.Ma mkwe nae vivyo hivyo ikawa ni maneno tu both side.

Mama yangu alikuja kututembelea hapa DSM na kumwona mjukuu wake pamoja na mke wangu, kwa maana hakuwa kuwaona isipokuwa Baba tu niliyeenda nae Ukweni kabla.

Mama alivyofika nae amekaa siku kadhaa tu maneno yakaanza "Mke wako hana ukarimu,haifai ,lea mtoto tu alikua umchukue hapo hujaoa bado"....na maneno mengine mengi tu kama mnavyowafahamu wanawake, Najitahidi kufupisha tu.

Sasa basi baada ya miezi kama miwili kupita , Kwakuwa Dada yake mke wangu nae kaolewa anaishi Dsm na mimi nipo Dsm pia, ila aliugua kidgo akawa ameenda home kwao..lakini hali haikuwa shwari wakalazimika kurudi mjini tena kwaajili ya vipimo hivyo basi aliandamana na Mama yake wakaja wote,

Kwakuwa mama mkwe nae alikuja huku kumguza mwanae(Dada mtu) nikaona siyo mbaya tukawasilimie..fuuu hao na mke wangu tukaenda kusalimia mimi nikarudi kazini mke wangu akalala huko siku mbili then alirudi.

Baada,ya mama mkwe kukaa almost mwezi mzima APA DSM huko kwa Shemeji yangu ,ikawa siku moja yapata Mida ya saa 12 asubuhi akapiga simu akidai ya kwamba nimruhusu mke wangu aende huko wakaagane yeye arudi Njombe.

Aseeh!nilimruhusu aende ,cha kushangaza ikipita siku ya kwanza hajarudi na aliniacha nikiwa na homa kali ya malaria ,zikapita siku 4 hajarudi,Napiga cm kwa ma mkwe nikijua karudi Njombe,kumbe bado yupo DSM,mke wangu nae namuuliza ishu ya kurudi hataki kumbe walipanga waondokee huko huko waliko hadi Mbezi Bus Terminal,

Mimi nilichukua jukumu la kumfuata mke wangu,kwa kuwa nilikuwa na shift ya usiku kazini nilifika huko jioni sana nikamwambia Wife ajiandae yeye na mtoto tuondoke niwahi kazini ,akabaki ananiangalia tu

Ma mkwe akadai ya kwamba anaondoka na binti yake kutokana na maneno hayo yaliyopo baina ya Wazazi wetu (hasa Mama) akidai pia siwasaidii kifedha ukweni na mambo mengine mengi (wanawake wanaongea mno) ,Nilimzuia mke wangu kuondoka hadi ukatokea ugomvi hapo..niliondoka nikiwa na hasira sana kurudi kazini ,kesho yake napiga simu wanadai tayari wapo Mikumi way to Njombe (alitoroka na binti yake pamoja na mwanangu).

Wameenda huko yapata wam mitatu sasa wanadai kutokana na maneno hayo hatuwezi ishi pamoja .nikitumia busara Baba na mama nao wanakuja juu wakisema niachane na huyo mwanamke nikawajibu "Mbona mnanipangia mtu wa kuoa na kuishi nae,anakaa na familia ni mimi kulikoni" yote hayo wazazi hawaelewi wanashinikiza nimwache hivyo hivyo na upande wa pili nao ukweni wanadai hatuwezi ishi pamoja kutokana na tofauti za wazazi zilizojitokeza..

Kimsingi mimi sikutaka kabisa mwanangu akose malezi ya Baba au akue katika mazingira kama hayo ya kutokuwaona wazazi wote kwa kweli ilinipa wakati mgumu sana japo kwa sasa nimezoea hali.

Nilichopanga kukifanyia maamuzi ni hiki hapa chini[emoji116][emoji116] na ndicho nahitaji busara zenu katika hili msije kuponda ama kutoa maneno ya kejeli na lugha mbaya la hasha nahitaji ushauri tu .

Mimi ni mkristo ila napanga nibadili kabisa na Dini niwe Islamic na hapo baadaye nikija kuoa nitao mwanamke Islamic( Ila wazazi hawataki kusikia hilo).

Pili,huyo mwanamke ambaye tayari tulianza maisha na kuwa na mtoto nimwache ,niendelee kutuma matumizi ya mtoto tu na akifika umri wa shule nitampeleka shule wala hakuna shida kwa maana ata mama yake anasema niendelee kulea mtoto.

Tatu, Nataka niwe na maamuzi yangu pekee hatakama wazazi hawataki nitafanya ninachoona mimi kuhusu hili jambo ambapo cha msingi nabadili dini nikiwa na utimamu wa akili kabisa na kwa sababu zangu nyingi tu nilizofanyia uchunguzi nahamia Uisilamu, na sitotaka mzazi aniingilie tena kwenye hilo suala na kama kuna Viongozi hapa wa Islamic wazuri naomba aje pm nahitaji mwongozo mzuri .

Lakini pia, kingine nataka kujua kwakua nitakuwa muislamu ndoa nayo itafungwa kwa misingi ya imani hiyo mpya na mwanamke nitaoa Islamic ,Je wazazi hawataki hilo jambo ndoa yangu itawezekanika kufungwa pasipo wazazi wangu kuridhia ..Naomba sana busara zenu katika hili

Asanteni,Nasubiri michango yenu katika hili.
Nakushauri soma kwanza uislamu uufahamu jpo upate mwanga kidogo kisha hayo mambo yko yatakuwa bila shida yoyote
 
Back
Top Bottom