Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Ana nini kwani?Ila bilionea nae ndio maana kaibiwa mke!
Macho yako yameona Kama Mimi🤣🤣🤣 Famasiala na FabregasIla bilionea nae ndio maana kaibiwa mke!
Sasa mbona nyama uzembe hivyo!Raha ya Bilionea uwe na body kinanda sasa mwili utasema anakula ma burger na machipsi bwana......Kuna huo mwili hapo wa mwinzie Prons kilo moja,apple,Jani moja la spinach ndizi mzuzu moja glass mbili za wine😁😁😁Ana nini kwani?
Kizuri chajiuza dada😂😂😂Macho yako yameona Kama Mimi🤣🤣🤣 Famasiala na Fabregas
Kuna mpya imeniacha hoi hiyoKATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI WIZI
NDOA NI BIASHARA YA UTUMWA
KATAA NDOA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mpya imeniacha hoi hiyo
NDOA NI UCHAWI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣Hatari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]