Ndoa ni gereza ila hakikisha usiwe mfungwa

Ndoa ni gereza ila hakikisha usiwe mfungwa

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Mabinti oleweni sehemu zitakazowapa furaha ya maisha usitazame pesa tu kwamba akiwa nazo akuoe basi hakuna shida yoyote.

Tambua pesa haiwezi tibu kila kitu ukikosa furaha mahali ulipo ndoa hiyo hugeuka gereza.

Vijana wa kiume nanyi msioe wala kuishi kwenye ndoa kwa sababu mwanamke anapika chakula kizuri anakupa ngono ya bure muda uupendao au ana makalio makubwa na sura ya kuvutia.

Oa sehemu ambapo ndoa kati yenu wawili itafsirika kuwa ni furaha na sio bora liende au tupo tu kulea watoto.

Vijana tambueni ndoa sio gereza la maisha yenu, furaha yenu ndio yapaswa kuwa msingi wa ndoa yenu.

Wanawake kwa waume nyumba zao huzikimbia na kuziona shubiri, matukio yanatokea ya kutisha msifikiri yanayo watokea si watu kama nyie tambueni kuwa nyie na wao ni sawa.
 
Zingatieni sana furaha katika maisha.

Pesa, makalio, sura nzuri, ngono za mitindo kede kede haziwezi tibu tatizo la kukosekana kwa furaha katika ndoa kati yenu.

Ogopa sana watu, wazazi, marafiki wanaosema ndoa ni kuvumiliana sio kila kitu ni cha kuvumilia.

Kama alikukuta ukiwa na maisha yako ni vyema mkapeana nafasi za kuendelea na maisha yenu ya awali kila mmoja.
 
Mabinti oleweni sehemu zitakazo wapa furaha ya maisha usitazame pesa tu kwamba akiwa nazo akuoae basi hakuna shida yoyote.

Tambua pesa haiwezi tibu kila kitu ukikosa furaha mahali ulipo ndoa hiyo hugeuka gereza.

Vijana wakiume nanyi msioe wala kuishi kwenye ndoa kwa sababu mwanamke anapika chakula kizuri anakupa ngono ya bure muda uupendao au ana makalio makubwa na sura ya kuvutia.

Oa sehemu ambapo ndoa kati yenu wawili itafsirika kuwa ni furaha na sio bora liende au tupo tu kulea watoto.

Vijana tambueni ndoa sio gereza la maisha yenu, furaha yenu ndio yapaswa kuwa msingi wa ndoa yenu.

Wanawake kwa waume nyumba zao huzikimbia na kuziona shubiri, matukio yanatokea ya kutisha msifikiri yanayo watokea si watu kama nyie tambueni kuwa nyie na wao ni sawa.
 
Mabinti oleweni sehemu zitakazo wapa furaha ya maisha usitazame pesa tu kwamba akiwa nazo akuoae basi hakuna shida yoyote.

Tambua pesa haiwezi tibu kila kitu ukikosa furaha mahali ulipo ndoa hiyo hugeuka gereza.

Vijana wakiume nanyi msioe wala kuishi kwenye ndoa kwa sababu mwanamke anapika chakula kizuri anakupa ngono ya bure muda uupendao au ana makalio makubwa na sura ya kuvutia.

Oa sehemu ambapo ndoa kati yenu wawili itafsirika kuwa ni furaha na sio bora liende au tupo tu kulea watoto.

Vijana tambueni ndoa sio gereza la maisha yenu, furaha yenu ndio yapaswa kuwa msingi wa ndoa yenu.

Wanawake kwa waume nyumba zao huzikimbia na kuziona shubiri, matukio yanatokea ya kutisha msifikiri yanayo watokea si watu kama nyie tambueni kuwa nyie na wao ni sawa.
Mhuuuuu yamekukuta? Maana ili kenge aelewe Hadi aone damu.
 
Kwenye maisha ogopa sana kitu kinacho itwa kukosa furaha maishani.

Unaweza ukawa na majumba mengi ya kifahari lakini nakuambia utayaona sawa na mabanda ya kuku yaliyojaa utitiri.

Unaweza ukawa na magari mengi ya kifahari lakini utayaona sawa na baiskeli mbovu zilizo jichokea.

Yote haya ni kukosa furaha juu ya maisha.
 
Kwenye maisha ogopa sana kitu kinacho itwa kukosa furaha maishani.

Unaweza ukawa na majumba mengi ya kifahari lakini nakuambia utayaona sawa na mabanda ya kuku yaliyojaa utitiri.

Unaweza ukawa na magari mengi ya kifahari lakini utayaona sawa na baiskeli mbovu zilizo jichokea.

Yote haya ni kukosa furaha juu ya maisha.
Furaha ya maisha kwako unaitafsiri vipi?
 
😂😂😂😂 Anazingua anatutisha oohh usimpende mwanaume sababu ya pesa. Kwahiyo alitaka tupende njaa??
Hajui mwanamke na PESA ni mapacha
😂😂😂 Hataki mpende Hela pasipo na Furaha
 
Back
Top Bottom