Ndoa ni kambi jeshi na mume ndiye mkuu wa kikosi, mume simama katika nafasi yako

Ndoa ni kambi jeshi na mume ndiye mkuu wa kikosi, mume simama katika nafasi yako

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Ukifika jeshi kabla ya kuanza mafunzo kuna ile introduction to Depo, kwenye introduction to Depo mutazungushwa maeneo yote ya kambi , mutapewa miiko na amri zote.

Ili baadaye ukikosea ujue kabisa kuwa kosa hili adhabu yake ni ipi. Kuna makosa adhabu yake ni kulimwa guard (kulinda night za kutosha)

Kuna makosa adhabu zake ni kushushwa cheo na mengine kufungwa au kukaa mahabusu ya main gate na kuna mengine ni death penalty.

Hivyo kabla ndoa kuanza mume mtarajiwa ni vyema ampe maelezo ya ndoa yake tarajiwa. Mwanamke aamue kuwa huyu mume nawezana naye au la.

Mwingine ulevi ni mwiko, mwingine kuchepuka ni mwiko, mwingine kuondoka nyumbani mpaka ruhusa ya mume hata kama mume yuko mbali mpaka kibali chake kitoke ndo mke atoke ndani.

Imefika wakati sasa mke anampa amri mume na mume mjinga anatii. Ni sawa na kuruta kumpa masharti mkuu wa kikosi 😭😭😭😭

Mimi najua kuwa nina wivu kuliko wengi wenu humu ndani.
Nilimwambia kabisa tukiwa wachumba kuwa makosa mengi au yote nitamsamehe ila siku nikipata uhakika kuwa amechepuka ndio mwisho wa ndoa yetu.
Nilimwambia tena hilo neno baada ya miaka 7 ya ndoa yetu.
Simtishi it's real hata kama atachepuka tukiwa na miaka 30 ndani ya ndoa uamuzi ni huo huo.
Mwanamke kuchepuka ni matusi makubwa sana.
Watoto wa kiume wa father tuko 8 kaka zangu 3 waliwahi kuacha wake zao for the same reason.
Nadhani hii ni tabia ya familia yetu. Hatusamehi cheating.
Nikuhudumie halafu ugawe uroda nje. Hapana. Wife nimemwambia kwa usalama wa maisha yake akichepuka na nikajua ni heri ajiokoe nafsi aukimbie mji wake.
Acheni kuwachekea wake zenu . Ndoa ni jeshi na mume ni mkuu wa majeshi.
 
Ukifika jeshi kabla ya kuanza mafunzo kuna ile introduction to Depo, kwenye introduction to Depo mutazungushwa maeneo yote ya kambi , mutapewa miiko na amri zote.
Ili baadaye ukikosea ujue kabisa kuwa kosa hili adhabu yake ni ipi. Kuna makosa adhabu yake ni kulimwa guard (kulinda night za kutosha)
Kuna makosa adhabu zake ni kushushwa cheo na mengine kufungwa au kukaa mahabusu ya main gate na kuna mengine ni death penalty.
Hivyo kabla ndoa kuanza mume mtarajiwa ni vyema ampe maelezo ya ndoa yake tarajiwa. Mwanamke aamue kuwa huyu mume nawezana naye au la.
Mwingine ulevi ni mwiko, mwingine kuchepuka ni mwiko, mwingine kuondoka nyumbani mpaka ruhusa ya mume hata kama mume yuko mbali mpaka kibali chake kitoke ndo mke atoke ndani.
Imefika wakati sasa mke anampa amri mume na mume mjinga anatii. Ni sawa na kuruta kumpa masharti mkuu wa kikosi 😭😭😭😭
Mimi najua kuwa nina wivu kuliko wengi wenu humu ndani.
Nilimwambia kabisa tukiwa wachumba kuwa makosa mengi au yote nitamsamehe ila siku nikipata uhakika kuwa amechepuka ndio mwisho wa ndoa yetu.
Nilimwambia tena hilo neno baada ya miaka 7 ya ndoa yetu.
Simtishi it's real hata kama atachepuka tukiwa na miaka 30 ndani ya ndoa uamuzi ni huo huo.
Mwanamke kuchepuka ni matusi makubwa sana.
Watoto wa kiume wa father tuko 8 kaka zangu 3 waliwahi kuacha wake zao for the same reason.
Nadhani hii ni tabia ya familia yetu. Hatusamehi cheating.
Nikuhudumie halafu ugawe uroda nje. Hapana. Wife nimemwambia kwa usalama wa maisha yake akichepuka na nikajua ni heri ajiokoe nafsi aukimbie mji wake.
Acheni kuwachekea wake zenu . Ndoa ni jeshi na mume ni mkuu wa majeshi.
Timu kataa ndoa inazidi kujiimalisha.
 
vipi wale wanaume wanaokua na hali mbaya kimaisha tunaamua kuishi nao kwenye nyumba zetu sisi wanawake huku wakiendelea kujitafuta,kisha tukienda kazin wanaingiza wanawake yaani kwenye kitanda changu mwenyewe........je nimsamehe kwakua ndiye mjeshi wa nyumba!?
 
Yesu
Ukifika jeshi kabla ya kuanza mafunzo kuna ile introduction to Depo, kwenye introduction to Depo mutazungushwa maeneo yote ya kambi , mutapewa miiko na amri zote.
Ili baadaye ukikosea ujue kabisa kuwa kosa hili adhabu yake ni ipi. Kuna makosa adhabu yake ni kulimwa guard (kulinda night za kutosha)
Kuna makosa adhabu zake ni kushushwa cheo na mengine kufungwa au kukaa mahabusu ya main gate na kuna mengine ni death penalty.
Hivyo kabla ndoa kuanza mume mtarajiwa ni vyema ampe maelezo ya ndoa yake tarajiwa. Mwanamke aamue kuwa huyu mume nawezana naye au la.
Mwingine ulevi ni mwiko, mwingine kuchepuka ni mwiko, mwingine kuondoka nyumbani mpaka ruhusa ya mume hata kama mume yuko mbali mpaka kibali chake kitoke ndo mke atoke ndani.
Imefika wakati sasa mke anampa amri mume na mume mjinga anatii. Ni sawa na kuruta kumpa masharti mkuu wa kikosi 😭😭😭😭
Mimi najua kuwa nina wivu kuliko wengi wenu humu ndani.
Nilimwambia kabisa tukiwa wachumba kuwa makosa mengi au yote nitamsamehe ila siku nikipata uhakika kuwa amechepuka ndio mwisho wa ndoa yetu.
Nilimwambia tena hilo neno baada ya miaka 7 ya ndoa yetu.
Simtishi it's real hata kama atachepuka tukiwa na miaka 30 ndani ya ndoa uamuzi ni huo huo.
Mwanamke kuchepuka ni matusi makubwa sana.
Watoto wa kiume wa father tuko 8 kaka zangu 3 waliwahi kuacha wake zao for the same reason.
Nadhani hii ni tabia ya familia yetu. Hatusamehi cheating.
Nikuhudumie halafu ugawe uroda nje. Hapana. Wife nimemwambia kwa usalama wa maisha yake akichepuka na nikajua ni heri ajiokoe nafsi aukimbie mji wake.
Acheni kuwachekea wake zenu . Ndoa ni jeshi na mume ni mkuu wa majeshi.
Yesu (Mungu) mwenyewe alijua dhahiri Me kumsamehe Ke sababu ya usaliti ni unafki tupu, mi ni nani hadi nipinge?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anayeweza kuvumilia cheating
Nimeshangaa kusoma kisanga cha mwalimu Morogoro ,

mke kamcheat mpaka kazaa na bodaboda na jamaa alivyokuwa fara eti kaenda kusemea serikali za mitaa kuhusu mkewe kumcheat 😀😀

mwisho wa siku mkewe kumuawa jamaa ili abaki na mchepuko bodaboda
 
Maisha yanabadilika sana upande wa ndoa, kuna wakati mwanamme aliweza kuishi na wanawake kumi kwa wakati mmoja, na baadae mimi binafsi nilishuhudia dingi mmoja kajenga nyumba na anashare na wake zake wawili sebule moja, chakula dinner na lunch na chai asubuhi wanakula pamoja na amani imetawala na kuota mizizi.

Tulipofika sasa ivi mwanamme hawezi kumdhibiti hata mwanamke mmoja kwa kipindi cha maisha yake yote bila kuchoka.

Leo hii ni kinyume chake, lakini mwanamke ameshindwa kuwafanya wanaume wakae pamoja, nyumba moja, na hii haitawezekana. Bado mwanamme ana wivu wa asili wa umiliki na kutawala.

Si ajabu kuona changamoto zinazoibuka sasa za ndoa sababu yake ni WANAUME KUSAHAULIKA NA JAMII KUWA HAWA NDIO WATAWALA WA KILA KITU DUNIANI KWENYE MILKI YAKE, NA KUWAPA NAFASI WANAWAKE ZAIDI.

Hoja ya mdau ni nzuri ila wake zetu wanabadilika badilika mno, yaani hawakosi mazingira ya mashaka. Mnaweza mkaweka mpango wa kubana matumuzi kama familia, ndo utagundua kumbe alikuwa na vikoba huko anaweka chenji.
 
Back
Top Bottom