Ndoa ni kipaji kama hauwezi achana nayo

Ndoa ni kipaji kama hauwezi achana nayo

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Jichunguze tabia zako kama unajijua huwezi kutulia na ndoa yako tuliza kizazi alasivyo tutakikata!.

Unaoana ili iweje ukijua utamletea mwenzako balaa!,kama hicho kipaji huna jishughulishe navitu vyengine usihangaishe makomwe yawenzako.

Mnaona halafu mnasumbua wazee kila siku vikao wanakosa hata muda yakunywa mbege.

Mkishaona mmekuwa watu wazima maugomvi yakijinga mkiyakuza mnatakiwa wote mlambwe mboko!,hamjui sikuhizi muda ni mchache mambo ni mengi sasa kesi ya kuumana tu mpaka kwa mwenyekiti!!.

kila mtu atimize wajibu wake kwenye ndoa,tusipotezeane muda wakati nyote mmepevuka.
 
Umeumia au umeumizwa , umevurugwa mbona ww ndoa ndoa tu? 😂😂

Althought nakubaliana na ww, mtu angaalie tabia yake, lakin angaalie kwann anao au anaolewa. If kama anaona hawez kutulia or hata mudu mikiki ya ndoa aachie wengine
 
Umeumia au umeumizwa , umevurugwa mbona ww ndoa ndoa tu? 😂😂

Althought nakubaliana na ww, mtu angaalie tabia yake, lakin angaalie kwann anao au anaolewa. If kama anaona hawez kutulia or hata mudu mikiki ya ndoa aachie wengine
nataka kuwa nabii wa maswala ya ndoa nitatue mambo ya ndoa zenu.
 
Back
Top Bottom