πPole sana! Kawashtakie wazazi wenutuliza kizazi alasivyo tutakikata!.
Kamsemee kwa mama ake
Mbona hii ni kesi nzito kabisa ya kuitisha kikao cha ukookuumana tu mpaka kwa mwenyekiti!!
Mahabahuo ni ujinga kwanini muumane ulioa au umeolewa na muwa mpaka muumane..?
nataka kuwa nabii wa maswala ya ndoa nitatue mambo ya ndoa zenu.Umeumia au umeumizwa , umevurugwa mbona ww ndoa ndoa tu? ππ
Althought nakubaliana na ww, mtu angaalie tabia yake, lakin angaalie kwann anao au anaolewa. If kama anaona hawez kutulia or hata mudu mikiki ya ndoa aachie wengine
Huwez kuwa nabii kama hujawahi au hauko huko. Do you think waliopo huko hawajui? Or you know better than them?nataka kuwa nabii wa maswala ya ndoa nitatue mambo ya ndoa zenu.
Sipingani i just state the factsunapingana na nabii...? by the way nabii hakubaliki nyumbani!
Nakaziakila mtu atimize wajibu wake kwenye ndoa,tusipotezeane muda wakati nyote mmepevuka.