Ndoa takatifu

Samahani.... mbona ndoa nyenyewe ni ya jinsia moja????????
 
Mmmh.....Is beauty an objective or a subjective phenomenon?

 
Lazima ndani ya ndoa hii umejaa uaminifu mkubwa....!
 
Wamependeza hakika na wanavutia sana, angalia, tafasiri tabasamu na usiangalie wanaonekanaje. Mungu awasaidie katika maisha yao
 
Hiyo picha karibu inataka kuchakaa kwenye store yangu jembe ndo anaifuma leo. By the way, nani aliyekuruhusu kupost picha ya harusi ya dadangu bila idhini yake? Nitafunga mtu mwaka huu...
 
Hiyo picha karibu inataka kuchakaa kwenye store yangu jembe ndo anaifuma leo. By the way, nani aliyekuruhusu kupost picha ya harusi ya dadangu bila idhini yake? Nitafunga mtu mwaka huu...
Haya bana fungua kesi CHADEMA watanisaidia! ninazo nyingi! na mimi nafanana na wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…