Ndoa ya 3 ya Dida yavunjika..

Si unajua vijana wa siku hizi wanapenda kulelewa, we unaoa mwanamke halafu unaenda kukaa kwake. hapo nyumbani kwa dida wameshaishi waume wawili kama sikosei.

Na utashangaa sasa hv mwanaume mwingine anajitokeza kumuoa huyo kurumbembe.
 
Yaani mwanaume na akili zako timamu unaamua kabisa kumuoa Dida?

Good grief!
 
Si unajua vijana wa siku hizi wanapenda kulelewa, we unaoa mwanamke halafu unaenda kukaa kwake. hapo nyumbani kwa dida wameshaishi waume wawili kama sikosei.

asee vijana wa siku hi wamekuwa vinara wa kupenda mteremko
 
hivi yule kijana anayehost kipindi na kidot pale tv one ndio alilioa hili kulumbembe? kama ndiyo yeye basi uchawi upo duniani.


ha ha ha uchawi haupo labda alilishwa vya Kitanga akachanganyikiwa

Kuingia ndani ya ndoa akakuta mambo ndivyo sivyo
 
ha ha ha uchawi haupo labda alilishwa vya Kitanga akachanganyikiwa

Kuingia ndani ya ndoa akakuta mambo ndivyo sivyo

Mh utakuta kweli aisee michanganyo ya kitanga kalishwa aiwezekana kjana aoe huyo aisee na inaonyesha lili expire ndo timbwili la asha gedere likaanza si bure
 
ka ezden kanaanzaje kupanda daladala kwa mfano?? hehe dida alishaficha funguo zake za magari mzee kitu bajaji ikamhamisha. tutabanana kwenye upakaji rangi a.k.a shika bomba.
alafu waume zake G na ezden wao ndio walihamia kwake so wakigombana wao ndio wanaondoka. wanamuacha kwa nyumba ile ile hehe
 
midomo ya watu mibaya jamani, yaani hii ndoa ilivunjwa na midomo ya watu tangu siku ya kwanza ilipotangazwa!!!

Utabiri mwingine hauitaji hata kipaji cha sheikh Yahya waliyajua tu haya... ila dah i feel pity on Dida jamani... yani mwanaume umlishe umvishe bado akucheat..
 
Utabiri mwingine hauitaji hata kipaji cha sheikh Yahya waliyajua tu haya... ila dah i feel pity on Dida jamani... yani mwanaume umlishe umvishe bado akucheat..

ngoja kesho nisikilize mitikisiko ya pwani nione kama ule mdomo bado anao
 
Kuna wakati kabla ya kuolewa na Edzen alidai anataka kuolewa na mzee Yusufu sijui viliishia wapi. Mzee Yusufu angemkomesha hiyu gumegume. Mwanamke gani hana staha ha
upo mdomo pale pale .....!!!uende wapi...?
t
 
Hata biashara anazofanya zinawaacha watu na viulizo. Mweeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…