Tetesi: Ndoa ya Azam tv na serikali kupitia chanel ya azam 2 hawarushi taarifa ya habari na wao hawarushi LIVE matukio ya serikali

Leseni walionayo haiwaruhusu kufanya live Broadcasting kwa hapa Nchini, leseni yao ya urushaji wa matangazo ya moja kwa moja haikuwa ya hapa Tanzania.

Sijui kama umeelewa.
kwahiyo sisi wapenzi wa kabumbu ndio basi tena... tuna pata uzoefu mwingine kama tulioupata huku JF... daaah
 
Muhando nawe shinda kesi ili uje udaifidia ya kadilimu laina
 
Acha kelele. Uza hicho kingamuzi kama vipi.
 
Asanten kwa kung'amua ukweli kumbe ni suala la lesen.!
 
Leseni walionayo haiwaruhusu kufanya live Broadcasting kwa hapa Nchini, leseni yao ya urushaji wa matangazo ya moja kwa moja haikuwa ya hapa Tanzania.

Sijui kama umeelewa.
Kwaio Live Broadcasting ya taarifa ya habari kipindi cha nyuma wakati wanarusha habari ilikua wapo kwenye kipindi cha maangalizi au
 
Leseni walionayo haiwaruhusu kufanya live Broadcasting kwa hapa Nchini, leseni yao ya urushaji wa matangazo ya moja kwa moja haikuwa ya hapa Tanzania.

Sijui kama umeelewa.
Hawezi kukuelewa kwani mlengo wake hauko katika kuelewa upo kisiasa zaidi.
 

INAWEZEKANA ikawa ni kwa sababu hiyo! Maana AZAM tv ipo kwenye kundi la DStv, hawapo kwenye kundi la local tv nyingine! kwa hiyo masharti ya leseni zao huenda yakatofautiana. Lakini si wazungumze, wapeane masharti na wakubaliane ili Maisha yaendelee?
 
Hii waliijua lini hao Serekalee
 
Exactly na mimi ndo nilisikia hivyooo
 
mbona mpira wanaonesha live? Au unamaanisha nini kwenye live broadcasting
 
Ukitaka mambo yako yanyooke; refer to the rule above.
 
INAWEZEKANA ikawa ni kwa sababu hiyo! Maana AZAM tv ipo kwenye kundi la DStv, hawapo kwenye kundi la local tv nyingine! kwa hiyo masharti ya leseni zao huenda yakatofautiana. Lakini si wazungumze, wapeane masharti na wakubaliane ili Maisha yaendelee?
Hiyo kweli mkuu nimekusoma
 
Kwa hiyo kumuona Messi mubashara ni dhambi?
 
kama kuna mtu anadhani hili jiwe ni nema Mungu ametupa basi ajitafakari mara mbili....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…