Ndoa ya Flaviana Matata

Ndoa ya Flaviana Matata

Anaolewa na brother men Deo masawe mwanaume wa grace muro .Deo na Grace on and off on and off.Grace kaolewa na tycoon m Nigeria .Brother men huyoooo uwiiii .Aliachwa na grace kwa Sababu alikuwa cheap .Grace high maintenance mzuriiii grace mweupeee.Nitawatushia picha ya grace .
Kwahiyo kuwa mweupe ndo uzuri? Basi Vlaviana asingepata hiyo kazi ya umodel.
 
Naskia ndoa chaliiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa ni commitment na sio maigizo, zaid ya hapo lazima kifo cha mende..kuna kazi ambazo kumaintain ndoa ni shida.... e.g model, music...sababu interaction na watu wa aina tofaut wenye mvuto ni kubwa sana, ukiongeza na ujana. kumchoka mwenzako ni kugusa tuu
 
Dah! Anyway ataolewa tena awe na subira tu.
 
Siku nyingi Sana, hakuna ndoa inajengwa juu ya machozi ya mwanamke mwenzio
 
Mwenye picha ya Flaviana enzi wana hagiana na mzee Trump kabla hajawa rais wa Marekeni, naiomba nina shida nayo
 
Back
Top Bottom