lol huko twitter na insta wana semaje !!?
Kwahiyo kuwa mweupe ndo uzuri? Basi Vlaviana asingepata hiyo kazi ya umodel.Anaolewa na brother men Deo masawe mwanaume wa grace muro .Deo na Grace on and off on and off.Grace kaolewa na tycoon m Nigeria .Brother men huyoooo uwiiii .Aliachwa na grace kwa Sababu alikuwa cheap .Grace high maintenance mzuriiii grace mweupeee.Nitawatushia picha ya grace .
Ndoa ni commitment na sio maigizo, zaid ya hapo lazima kifo cha mende..kuna kazi ambazo kumaintain ndoa ni shida.... e.g model, music...sababu interaction na watu wa aina tofaut wenye mvuto ni kubwa sana, ukiongeza na ujana. kumchoka mwenzako ni kugusa tuu
Fungukeni kidogo. maana wengine tupo maporini sana hatujui nn kinaendelea.
Nasikia ka Flaviana ni kajeuri sana na kiburi hasaa
Ni tetesi tuu hazionekaniKumbe umesikia. Hujaona?
Hivi kwanini mnafukua makaburi ya 2015?