choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Jibu unalo hpo chagua wewe[emoji125] [emoji125]Kwa hiyo janja ni type 1 au 2
Hii ndoa ikitimiza Mwaka natembea uchi Jamiiforums nzima!
Pesa raha sana,
Rafiki nakwepa kujibu swali lako sawa na wewe unavyokwepa kujibu swali langu!![emoji30][emoji30][emoji30]Miaka 29 anaweza kuwa na mtoto wa miaka 22??
Irene Uwoya ingekuwa ni Gari Basi TRA wange charge kodi ya Uchakavu kabla ya kuruhusu Hii ndoa kufungwa!
Imetembea kilometer Kama million 2
Huyo huyoSalaah yupi?huyu wa GSM?
Sio mbaya,ridhki ya mtu usiilalie mlango wazi,utaumbuka.Huyo huyo
Kidini ya huyo jamaa inaruhusu kumuolea mtu na vile vile anafanya siri ana familia yule jamaaIli la kumuolea mtu inakuaje, Kwan ugum uko wapi jamaa kumuoa mwenyew