elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Mwarabu atakuwa anahitaji huduma ile ya mtandao pendwa.
Angekuwa serious anahitaji mke angeoa mwarabu mwenzake ukoo wowote anachukuwa binti, qualification muhimu kwa waarabu ni pesa na yeye anazo.
Hamna ndoa hapo anahalalisha huduma tu.
Mkuu kutokua na urithi wa mali kwa nyumba ndogo ni kwa mujibu wa dini gani?Hakunaga ndoa ya mwarabu na mswahili, wewe chunguza kwa makini, hao waarabu wenyewe kuna koo wanabaguana huwezi kuoa labda uwe tajili kama huyu.
Ukishaona ndoa yenyewe inafanywa siri basi ujuwe jamaa anataka tu kuhalalisha kidini lakini hiyo ni nyumba ndogo tu, hana urithi wowote wa mali.
Sasa Zamaradi ndio nani?Mkuu kutokua na urithi wa mali kwa nyumba ndogo ni kwa mujibu wa dini gani?
Kwani kuna njia ya wewe kupita Huku???Hii ndoa ikitimiza Mwaka natembea uchi Jamiiforums nzima!
Ukitaka kujua kaolewa na nani ingieni kwenye insta ya Da mange au ya zamaradi.Baada ya Irene Uwoya kufunga ndoa Jana japo bado mume aliyefunga Naye hajamuweka wazi rasmi japo kuna uvumi ni Dogo Janja. Kutokana na watu waliohudhuria sherehe Hiyo.
Jambo la kushangaza lililowaudhi waudhuriaji ni ile Hali ya kuzuia watu wasiingie na simu ukumbini na kukataza watu kupiga picha ukumbini na kulikuwa na mabaunsa Ambao walisimamia zoezi hili ipasavyo.
View attachment 619262 View attachment 619264
ilikuwa bado kidogo tu nikutag jirani kumbe kitambo tu ushawahi siti
Ni kazeze,Tajiri mtata kama Salaah na yule mkata viuno wa ThT.Demu limeungua kitambo..kuna jamaa wa 3 walikuwa wanalifukua viazi wameshakufa
bwana harusi mwenyewe bado hajulikani.Umri wao please!!
ni dogo janja......proved now!!bwana harusi mwenyewe bado hajulikani.
Sawa mwanga lutila kwani mwaka ni mbali?Hii ndoa ikitimiza Mwaka natembea uchi Jamiiforums nzima!
Ni kweli Kabisa jamaa kaamua kuhalalisha kidini asizini Ila akishamchoka anambwagaHakunaga ndoa ya mwarabu na mswahili, wewe chunguza kwa makini, hao waarabu wenyewe kuna koo wanabaguana huwezi kuoa labda uwe tajili kama huyu.
Ukishaona ndoa yenyewe inafanywa siri basi ujuwe jamaa anataka tu kuhalalisha kidini lakini hiyo ni nyumba ndogo tu, hana urithi wowote wa mali.