Ndoa ya Irene Uwoya, Marufuku kuingia na simu Ukumbini

Hivi kwa nini watu wanamshambulia sana Irene hivi nyie wanaume wa hum mna akili kweli? Hao mademu zenu mbona na ninyi mnawala ila akiliwa Irene ndo anaonekana wa ajabu[emoji57] [emoji57] [emoji57] acheni ushamba
 
Ukumbi upi hpo au sebuleni kwa uwoya
 
Kuogopa kifo haina maana yeyote maana lazima ufe tu.
Kifo cha namna hii ni cha kujitakia aisee.mdude limeungua lina mafaili 3 mwananyamala ya kumeza mbaazi...watu wamelifukua viazi mpaka wamekinai wewe unaoa ..kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…