Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Umesema wolper alikosea kuolewa na Rich ndo maana na mimi nimekwambia huenda huyo wolper alifaata mtonyo kwa mwana siyo material ya uhasband wa richMtonyo sio sababu ya kuvunjika ndoa yao, Rich bado ana mambo mengi ujana mwingi anaruka sana.
Hata ukimsoma vizuri hapo Wolper, utaona kabisa anaongelea hilo mara nyingi.