Umesema wolper alikosea kuolewa na Rich ndo maana na mimi nimekwambia huenda huyo wolper alifaata mtonyo kwa mwana siyo material ya uhasband wa richMtonyo sio sababu ya kuvunjika ndoa yao, Rich bado ana mambo mengi ujana mwingi anaruka sana.
Hata ukimsoma vizuri hapo Wolper, utaona kabisa anaongelea hilo mara nyingi.
Hapana, Wolper alimpenda kweli Rich na alishamaliza mambo mengi alidhamiria kutulia na kujenga familia.Umesema wolper alikosea kuolewa na Rich ndo maana na mimi nimekwambia huenda huyo wolper alifaata mtonyo kwa mwana siyo material ya uhasband wa rich
Bas tumwombee Aman ya BWANAHapana, Wolper alimpenda kweli Rich na alishamaliza mambo mengi alidhamiria kutulia na kujenga familia.
Kama ni mtonyo Wolper mwenyewe yuko vizuri sana, sio shida zake.
Ndoa ni zaidi ya mapenzi mtaniPenzi la dunia ni la muda nalo lachakaa,
Ooh! Ndoa za kikatoliki hazivunjikiIle NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.
Source: Wolper mwenyewe
BCC: katana ndoa
View attachment 3193318
Karibu Kwangu...Ile NDOA iliyosimamisha internet. Imevunjika rasmi.
Source: Wolper mwenyewe
BCC: katana ndoa
View attachment 3193318
Sikuhiz zinavunjika et jamniOoh! Ndoa za kikatoliki hazivunjiki
Sio Rich alikurupuka kumuoa JW?Nilishawaambia lakini, ndoa ilikuwa sio ndoa ni ndoano na imepumulia mashine kwa muda mrefu.
Kiukweli Wolper alikurupuka kuolewa na Rich.
Washatombana sana mpaka jamaa akachoka kaamua aingie mitini wapumzishane kwanza kitumbua kipoe, sirudi tenaDuh aiseee ndoa hizi
Washatombana weeeeeee oyaNdo bhasi tena daah nikikumbuka kadi zilisambazwa na farasi nalia💔😩
Nashangaa kabisa watu wanashangaa ndoa za kisanii kuvunjika,kuna ndoa humo au yanakuwaga maigizo tu.Ndoa za mitandaon hizi
Ndoa za wana mitandao
Kwa namna ilivyokuwa, Wolper ndio alionekana kuwa na uhitaji wa ndoa zaidi.Sio Rich alikurupuka kumuoa JW?
Naukumbuka uzi wako.
Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!