Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Mtende tiririka basi. unaonekana unawajua vyema

Huyu jide mchepuko wake ni advocate nkono,huyu.na ndio anamweka jide hapa mjini kwa asilimia kubwa,tena wanatoka sehemu.moja huko ukuriani,sasa watu hawaoni hili wana kazi ya kumlaumu habash,na istoshe jide mbona nae kicheche sana, na ni mtata sana hata hivo gadna amejitahidi,jide ni mbabe in nature alikua anamdrig gadna kama kuku,
 
Last edited by a moderator:
nimekopi mahali "Tunajua wanaume 90% wana michepuko but this man kazidiiiiiiiiiiiiiiiii! Yani kama inayosema hapo juu huwa hafichi! One time alikuwa club anafanya mambo ya ajabu na some chic! Watu tunatizama tunaminyana! Na hii si juzi ni miaka at least 3 iliyopita!! Kweli hana haya! Haya miaka yote amekaa nyumbani kwa mwanamke, hakuwaza kujenga na yeye? Eh kweli mteremko raha jamani! Anyhow, ndio ma relationships hayo! All the best to them! Ila ukweli ni kwamba huyu kaka yetu hawezi acha hiyo tabia, iko katika damu".
 
1.tumuache tumemshika...

2.mimi nilikua sijui sa ukisema "nani asiyejua" nakushangaa umetumia formula gani kuja na hiyo generalization.

3.hamkuyaona ya ukikongwe tangu wanafunga ndoa?? alikubalije kufunga ndoa na kikongwe??

Yeye si slikamara fursa?? Sasa huko ndani ya fursa amejikuta sio chaguo la moyo,gadner ana michepuko mingi sana na mara nyingi huwa anazungumza wazi.kwamba hampendi jide yupo nae tu kwa maslahi yake,and there is where the problem start,ni bora angetafuta mtu ambae ni chaguo lake kuliko kumtesa huyu bi dada masna bi dada anampenda sana gadna

Na hili la jide na nkono.mbona ni la muda mrefu na liliwahi.kuleta mgogoro mkubwa baina yao,sasa sikujua kama hata wewe Heaven on Earth hulijui
 
Last edited by a moderator:

jide anaonekana tu kwamba ni bandidu.
 

sasa hapo alikua anajua Jide sio chaguo lake tangu the beginning sema aliingia kimaslahi.

ya Advocate Nkono nilikua nayajua hapa nimejitumia mimi kama kiwakilishi cha waliokua hawajui.

sa nyingine upweke ukizidi unatafuta mtu wa kujifariji nae sa. Nkono alikua anaplay part ya kumfariji Dada jide lol.
 
Last edited by a moderator:
Mi sitaki kukubali naomba iwe ni skendo tu, ili warudi kwa chati tena.
 

Sasa jide nae bora angetafuta mchepuko kijana maana yule nkono nae ni.kikongwe sana,sema maslahi pia mbele,daah sasa hii ni ngumu,ila jide anaweza akamrudisha gadna,she loves him to death sijui gadna huwa anampa nini jide aisee
 
Mmmh,ila mimi nilikua kama naona hakuna mapenzi ya kweli paleee,bt kama ni kweli,huo si mwisho wa maisha,Jaydee asonge mbele na maisha yakee…!!!
 
Dawa ya kuepuka michepuko ni kuoa demu mzuri...Jide is not that cuteee...viwanda vya cosmetics vikifungwa atakuwa mwali yule (atakuwa hatoki nje watu wamuone).
 
Wife alikua mchepuko balaa ule mzigo bila pesa ni shidaah,mana jamaa aliemuoa alikua anachepuka nae wakti yuko na gardner,mana walikua wanaishi nyumba moja then bdae g kumwacha mchepuko ukavuta ki2 ndani

umeona eeh!
ila watu wanamsema jde kwa kuwa maarufu
ila mdoa yao ilianza kuyumba kabla ya gadna kua na jde sema alikua anatafuta umaarufu huyo ida sjui
 
Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
 
Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?

King KongIII Acha kutubania na maneno tusiyoyaelewa,ila ndoa za siku hizi si ndoa bali ndoano.
 
Kinacho sikitisha zaidi ni hili la G kwenda kwa ndugu yake bado najiuliza muda wote huo hakuwai kujenga hata chumba kimoja Kama mwanaume? Ina maana alikuwa ana kaa na Jide kama Mtoto wa Jide anaye tegemea Urithi!

Kuna mambo wanaume huwa tunafanya mwanzoni hayaonekani kama ni kosa mpaka baadae maana mtu kama G muda wote huo kukosa hata nyumba ya chumba kimoja itakuwa ni aibu sana tena sana!

Mtu unaamua kukaa na mwanamke bila kuwa na Asset yeyote ya kijiegemeza labda sababu walifunga ndoa pengine kuna mali walichuma pamoja watagawana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…