Mtende tiririka basi. unaonekana unawajua vyema
1.tumuache tumemshika...
2.mimi nilikua sijui sa ukisema "nani asiyejua" nakushangaa umetumia formula gani kuja na hiyo generalization.
3.hamkuyaona ya ukikongwe tangu wanafunga ndoa?? alikubalije kufunga ndoa na kikongwe??
Huyu jide mchepuko wake ni advocate nkono,huyu.na ndio anamweka jide hapa mjini kwa asilimia kubwa,tena wanatoka sehemu.moja huko ukuriani,sasa watu hawaoni hili wana kazi ya kumlaumu habash,na istoshe jide mbona nae kicheche sana, na ni mtata sana hata hivo gadna amejitahidi,jide ni mbabe in nature alikua anamdrig gadna kama kuku,
Yeye si slikamara fursa?? Sasa huko ndani ya fursa amejikuta sio chaguo la moyo,gadner ana michepuko mingi sana na mara nyingi huwa anazungumza wazi.kwamba hampendi jide yupo nae tu kwa maslahi yake,and there is where the problem start,ni bora angetafuta mtu ambae ni chaguo lake kuliko kumtesa huyu bi dada masna bi dada anampenda sana gadna
Na hili la jide na nkono.mbona ni la muda mrefu na liliwahi.kuleta mgogoro mkubwa baina yao,sasa sikujua kama hata wewe Heaven on Earth hulijui
sasa hapo alikua anajua Jide sio chaguo lake tangu the beginning sema aliingia kimaslahi.
ya Advocate Nkono nilikua nayajua hapa nimejitumia mimi kama kiwakilishi cha waliokua hawajui.
sa nyingine upweke ukizidi unatafuta mtu wa kujifariji nae sa. Nkono alikua anaplay part ya kumfariji Dada jide lol.
kama hii habari ni ya kweli basi wacha nikae kimya kwanza,nitakuja na thread moja nzito.
Halafu Jide ni mgumba labda G anaham ya mtoto mwingine.member wa nini????
Na ukiiba inabidi ukomae kweli...wanasema kavumilia kumbe alikuwa anaona aibu wakiachana watu watamcheka... 'karma'
Wife alikua mchepuko balaa ule mzigo bila pesa ni shidaah,mana jamaa aliemuoa alikua anachepuka nae wakti yuko na gardner,mana walikua wanaishi nyumba moja then bdae g kumwacha mchepuko ukavuta ki2 ndani
Halafu Jide ni mgumba labda G anaham ya mtoto mwingine.
Watu mna maneno eti minjingu na viuatilifu......Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
Nasikia jamaa nae ni 'member'
Ilikuwa ya kanisani