Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika


Duh..sasa ikatokea Advocate akaMPREGNANT Jide hiyo product si itakuwa sio.

Alafu kweli Jide anaonekana mtata sana...hata majina anayojipachika, mara ajiite Joka (anaconda), mara Commando.......lazima yule braza wa watu alikuwa anagugumia maumivu ndani kwa ndani.
 
Akina marioo wote wakae mkao wa kula ni miondoko ya bajaji na bahasha tu.
 
Sasa Jide asijipe stress, atafute kabongofleva chake....na madongo wapenda mteremko wapo wengi tu standby...

Ila kabla hajakaribishwa ndani apewe masharti ya mkataba akae akijua kabisa...akiona simu ya Advocate inaita, anakuletea simu....mummy daddy anapiga....sio aanze kushuta hovyo kama kale kajamaa cha Shilole, almanusra kupigwa jiwe.
 
Duh tafsiri ya marioo ni pana sana nadhani,sioni kwa nini Gadner aitwe marioo maana jamaa ni hard working na anafanya vitu vingi toka kitambo ana sources zake za income ambazo naamini zinaweza kukudhi mahitaji yake na hata uyo mkewe pia anajua umuhimu wa Gadner kwenye career na biashara zake maana amekua meneja kwa mafanikio makubwa naona kwa sababu wakipiga hatua inaonekana na Jide tu wanasahau kuna mtu nyuma ya mafanikio yake.
 
umeona eeh!
ila watu wanamsema jde kwa kuwa maarufu
ila mdoa yao ilianza kuyumba kabla ya gadna kua na jde sema alikua anatafuta umaarufu huyo ida sjui

Hapa wa2 watamtetea huyo ida ila siri hata gardner anajua kua alikua anachapiwa na mpangaji mwenzake,yule dada kua mke w g cjui alilazmishwa mana kumiliki mwanamke w vile huna ki2 ni majanga,mana huo mzigo hpo nyuma ni mapigo ya shehe kipozeo neema za allah
 
Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
Aiseeee..........daa watu wote wangekuwa wana andika kama wewe thread zingekuwa zinadumu! Kwenye hili sakata tutasikia mengi!
 
Aiseeee..........daa watu wote wangekuwa wana andika kama wewe thread zingekuwa zinadumu! Kwenye hili sakata tutasikia mengi!

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka hadi machozi...

hii post inabidi uisome kwa makini kuwajua wahusika.. nimecheka sana duh....

Hahahahaaa JF kuna watoto wengi kwahiyo lazima tu-encrypt data wakati wa kwenda hewani.
 
Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…