ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Kanisa gani wakati alikuwa amesshaoa??
Mie nilijua unamaanisha ndoa ya kwanza Ya gadner, ndio ilifungwa kanisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa gani wakati alikuwa amesshaoa??
Huyu jide mchepuko wake ni advocate nkono,huyu.na ndio anamweka jide hapa mjini kwa asilimia kubwa,tena wanatoka sehemu.moja huko ukuriani,sasa watu hawaoni hili wana kazi ya kumlaumu habash,na istoshe jide mbona nae kicheche sana, na ni mtata sana hata hivo gadna amejitahidi,jide ni mbabe in nature alikua anamdrig gadna kama kuku,
umeona eeh!
ila watu wanamsema jde kwa kuwa maarufu
ila mdoa yao ilianza kuyumba kabla ya gadna kua na jde sema alikua anatafuta umaarufu huyo ida sjui
Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka hadi machozi...
hii post inabidi uisome kwa makini kuwajua wahusika.. nimecheka sana duh....
Aiseeee..........daa watu wote wangekuwa wana andika kama wewe thread zingekuwa zinadumu! Kwenye hili sakata tutasikia mengi!Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
Mie nilijua unamaanisha ndoa ya kwanza Ya gadner, ndio ilifungwa kanisani
Aiseeee..........daa watu wote wangekuwa wana andika kama wewe thread zingekuwa zinadumu! Kwenye hili sakata tutasikia mengi!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka hadi machozi...
hii post inabidi uisome kwa makini kuwajua wahusika.. nimecheka sana duh....
Gide na Gadna??
ki-valey ni kibonde
Hahahaha nimependa uandishi wako!Hahahahaaa JF kuna watoto wengi kwahiyo lazima tu-encrypt data wakati wa kwenda hewani.
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
Hahahaha jf bhana hili swali ni zuri sana.Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
Mkuu toa ushuhuda na wakati ana kwenda kati kati ya bahari we ilikuwa wapi?Unataka nikupe ushuhuda mkuu???!!!