Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
we si unashinda siasani.. huku udaku udakuzi
Heaven on Earth, hayo macho yako umeyafanya nini???
Wadada wenye rangi kama ya kwako nawapenda sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we si unashinda siasani.. huku udaku udakuzi
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
Mkuu toa ushuhuda na wakati ana kwenda kati kati ya bahari we ilikuwa wapi?
Na hili agano lilikuwa kwaajili ya nini?
Na hii ilikuwa baada au kabla ya kuolewa?
HaHahahaha jf kiboko sasa alizama hapo katikati ya ziwa akiwa amevaa vifaa vya kumsaidia kujiokoa!Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani ya bahari na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
Kinacho sikitisha zaidi ni hili la G kwenda kwa ndugu yake bado najiuliza muda wote huo hakuwai kujenga hata chumba kimoja Kama mwanaume? Ina maana alikuwa ana kaa na Jide kama Mtoto wa Jide anaye tegemea Urithi!
Kuna mambo wanaume huwa tunafanya mwanzoni hayaonekani kama ni kosa mpaka baadae maana mtu kama G muda wote huo kukosa hata nyumba ya chumba kimoja itakuwa ni aibu sana tena sana!
Mtu unaamua kukaa na mwanamke bila kuwa na Asset yeyote ya kijiegemeza labda sababu walifunga ndoa pengine kuna mali walichuma pamoja watagawana!
Sasa Garder ataishije hapa mjini mtoto soft kama yule?,milango yake ya ridhiki Lady JD ameshaifunga
Ngoja wapemba na waarabu wafanye yao
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
jide angekua analipalipa kidogo ningejiweka...tatizo ana sura chachu halafu kwa sura na nature ya nyimbo zake anaonekana ni mkorofi sana
Kahamia kwa ndugu? Ina maana hajajenga huyu
hahaha,mkono,kibonde mtunza bustani aka Gardener,watu wana mambo!hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka hadi machozi...
hii post inabidi uisome kwa makini kuwajua wahusika.. nimecheka sana duh....
Huyo Advocate Mguu si nasikia yupo kwenye grid ya taifa? Jide alikuwa hajui? Ki-valley na mtunza bustani wote wanatumia minjingu kuua viwatilifu?
Duh tafsiri ya marioo ni pana sana nadhani,sioni kwa nini Gadner aitwe marioo maana jamaa ni hard working na anafanya vitu vingi toka kitambo ana sources zake za income ambazo naamini zinaweza kukudhi mahitaji yake na hata uyo mkewe pia anajua umuhimu wa Gadner kwenye career na biashara zake maana amekua meneja kwa mafanikio makubwa naona kwa sababu wakipiga hatua inaonekana na Jide tu wanasahau kuna mtu nyuma ya mafanikio yake.
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?
Kahamia kwa ndugu? Ina maana hajajenga huyu
Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani ya bahari na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.
Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani ya bahari na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.