Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Mkuu toa ushuhuda na wakati ana kwenda kati kati ya bahari we ilikuwa wapi?
Na hili agano lilikuwa kwaajili ya nini?
Na hii ilikuwa baada au kabla ya kuolewa?

Mkuu haya mambo ni mazito sana, sema tu nimeyaandika ki mzaha mzaha. Labda nijibu swali mojawapo hapo kuepusha kuvujisha mambo mengine makubwa makubwa. Ishu ya ziwa victoria kwa jide mdhamini wake mkubwa ni c.h.a.m.e.l.e.o.n wa u.g, believe it or not m.r nyc alikosea mambo kadhaa ila na yeye alikuwa mshirika mzuri tu, b.u.s.h.o.k.e alimkimbia c.h.a.m.e.l.e.o.n.e kwani na yeye yalimshinda. Na kwa jide ilikuwa kabla ya kuolewa ni siku nyingi sana
 
Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani ya bahari na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.
HaHahahaha jf kiboko sasa alizama hapo katikati ya ziwa akiwa amevaa vifaa vya kumsaidia kujiokoa!
 
Kinacho sikitisha zaidi ni hili la G kwenda kwa ndugu yake bado najiuliza muda wote huo hakuwai kujenga hata chumba kimoja Kama mwanaume? Ina maana alikuwa ana kaa na Jide kama Mtoto wa Jide anaye tegemea Urithi!

Kuna mambo wanaume huwa tunafanya mwanzoni hayaonekani kama ni kosa mpaka baadae maana mtu kama G muda wote huo kukosa hata nyumba ya chumba kimoja itakuwa ni aibu sana tena sana!

Mtu unaamua kukaa na mwanamke bila kuwa na Asset yeyote ya kijiegemeza labda sababu walifunga ndoa pengine kuna mali walichuma pamoja watagawana!

nadhani ndo maana alimwimba...

utakubalije kuwa historia
wakati siku yako haijafika....X2:embarrassed:
 
jide angekua analipalipa kidogo ningejiweka...tatizo ana sura chachu halafu kwa sura na nature ya nyimbo zake anaonekana ni mkorofi sana
 
jide angekua analipalipa kidogo ningejiweka...tatizo ana sura chachu halafu kwa sura na nature ya nyimbo zake anaonekana ni mkorofi sana

Anaonekana mtata sana na hivi anapesa ni shida

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Duh tafsiri ya marioo ni pana sana nadhani,sioni kwa nini Gadner aitwe marioo maana jamaa ni hard working na anafanya vitu vingi toka kitambo ana sources zake za income ambazo naamini zinaweza kukudhi mahitaji yake na hata uyo mkewe pia anajua umuhimu wa Gadner kwenye career na biashara zake maana amekua meneja kwa mafanikio makubwa naona kwa sababu wakipiga hatua inaonekana na Jide tu wanasahau kuna mtu nyuma ya mafanikio yake.

Very true
 
Muda huo anavunja yai we ulikua wapi?

Hili swali linanikumbusha ofisi moja, mfanyakazi wa chini (mtunza maua na kutupa taka) alitoboa siri kuwa walikutana na mmoja wa mameneja wa ofisi ile kwa mganga (hii ni baada ya kutibuana na meneja yule).....

Na kwa mazingira na hali halisi, swali la kuwa na yeye alikwenda kufanya nini kwa mganga halikuwa na madhara makubwa kwake kulinganisha na mwenzake (meneja).

Kiukweki bwana Meneja alichafuka na kudhalilika sana kulinganisha na jamaa, ambaye alijieleza kuwa alienda kwa mganga kwa maswala yake ya kifamilia.
 
Kahamia kwa ndugu? Ina maana hajajenga huyu

watu kama hao ndo waanzilishi wa ile kauli nakula ujana..............,mke wake ndo kichwa(fighter) cha nyumba i think umenielewa what i mean,so siku akighairi lazima uanze upya
 
ziwa?...bahari.?...
mbona sielewi
Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani ya bahari na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.
 
Ni vigumu sana kwa jide kuzaa, kwani ana maagano makuu. Aliwahi kwenda ziwa victoria, na katikati ya ziwa hilo akazama ndani ya bahari na kupasua yai, hivyo mateso yake ni kutoshika mimba kamwe mpaka kifo.

Hii itakuwa ni habari mpya yenye kuhitaji uzi wake pekeyake
 
Back
Top Bottom