Ndoa ya jirani yangu inaelekea kwenye mgogoro mkubwa

Ndoa ya jirani yangu inaelekea kwenye mgogoro mkubwa

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Hii ndoa inakoelekea bila msaada wa Mungu hii inaelekea kwenye mgogoro mkubwa.

Kisa kiko hivi ,

Hii nyumba tuliopangisha tunaishi na Dereva wa Malori ambae ni Bachelor, huyu jamaa anaporudi kutoka safari ananunua gunia la mkaa na kuliweka ndani japo hapiki, basi ule mkaa utatumiwa na yule dada mke wa mpangaji mwenzangu mpaka utaisha, siku huyo dereva akiamua kushinda nyumbani basi atampa mke wa jamaa Elf 10 ili akipika chakula ajumuishwe.

Cha ajabu chakula anachotaka huyo jamaa ndio kinapikwa hata mume aseme kipikwe chakula gani hakipikwi, jamaa akitoka kwenye mizunguko yake jioni hubeba chipsi na zawadi nyingine na nyama na kumpa mke wa jamaa heti ni zawadi ya mtoto.

Jamaa huwa hashindi nyumbani akitoka asubuhi kurudi saa3 usiku na hajui kinachoendelea, Ninawaza siķu akigundua hii ndoa itaingia kwenye mgogoro mkubwa.
 
Hii ndoa inakoelekea bila msaada wa Mungu hii inaelekea kwenye mgogoro mkubwa
Kisa kiko hivi

Hii nyumba tuliopangisha tunaishi na Dereva wa Malori ambae ni Bachelor, huyu jamaa anaporudi kutoka safari ananunua gunia la mkaa na kuliweka ndani japo hapiki, basi ule mkaa utatumiwa na yule dada mke wa mpangaji mwenzangu mpaka utaisha, siku huyo dereva akiamua kushinda nyumbani basi atampa mke wa jamaa Elf 10 ili akipika chakula ajumuishwe, cha ajabu chakula anachotaka huyo jamaa ndio kinapikwa hata mume aseme kipikwe chakula gani hakipikwi ,jamaa akitoka kwenye mizunguko yake jioni hubeba chipsi na zawadi nyingine na nyama na kumpa mke wa jamaa heti ni zawadi ya mtoto, jamaa huwa hashindi nyumbani akitoka asubuhi kurudi saa3 usiku na hajui kinachoendelea, Ninawaza siķu akigundua hii ndoa itaingia kwenye mgogoro mkubwa
Pole bro tafuta njereee
 
Uswahilini ni kawaida sana kulishwa jasho la mwanaume mwenzio
 
Huna kazi mkuu? unakaa kuchunguza maisha ya wengine. Yaani mpaka unajua anapikiwa nn. Nani anatumia mkaa aiseee...????
 
Hii ndoa inakoelekea bila msaada wa Mungu hii inaelekea kwenye mgogoro mkubwa
Kisa kiko hivi

Hii nyumba tuliopangisha tunaishi na Dereva wa Malori ambae ni Bachelor, huyu jamaa anaporudi kutoka safari ananunua gunia la mkaa na kuliweka ndani japo hapiki, basi ule mkaa utatumiwa na yule dada mke wa mpangaji mwenzangu mpaka utaisha, siku huyo dereva akiamua kushinda nyumbani basi atampa mke wa jamaa Elf 10 ili akipika chakula ajumuishwe, cha ajabu chakula anachotaka huyo jamaa ndio kinapikwa hata mume aseme kipikwe chakula gani hakipikwi ,jamaa akitoka kwenye mizunguko yake jioni hubeba chipsi na zawadi nyingine na nyama na kumpa mke wa jamaa heti ni zawadi ya mtoto, jamaa huwa hashindi nyumbani akitoka asubuhi kurudi saa3 usiku na hajui kinachoendelea, Ninawaza siķu akigundua hii ndoa itaingia kwenye mgogoro mkubwa
Jumapili kulikuwa na muvi ya aina hiyo ITV.
Kinachofuata hapo ndoa lazima isambaratike. Usiingilie mapenzi ya watu wala usimwambie jamaa.
Acha ajionee mwenyewe. Ukijifanya unajua sana. Mke wa jamaa atasema ulikuwa unamtongoza na kinachoendelea hapo ni ugomvi kati ya wewe na rafiki yako
 
moja ya watu washenzi kweny ngono madereva wa Lori ni kiboko

nilipo kua nasugua bench ilibidi nimfate bro Ninae mfuata anipe Raman ya kivita kutoboa kweny huu msoto kama kawa akanipa ABC za maisha
jamaa Ana chombo moja tandamu ya masafa ikabidi nijiegeshe gereji kupiga spana one day bro akanibeba kweny ruti zake duu sikuamini aisee kila baada ya vijiji 2 bro Ana simama Kuna manzi inakuja hasa Hawa wa migahawan kote uko anatembeza lungu
nilijiona bonge LA mshamba akiwa na manzi 3 harafu mm nipo next door
Hawa madereva chambo Yao ni mkaa tu kmmk
all in all nobody is safe out there we all play dirty
 
Jinsia yakoo kwanza unaonekana mmbea mbea sana unafatilia sana ya watu achana nayo yanakuhusu
 
Msela etu unakatabia fulani hv ka kufuatilia mambo ya watu[emoji28] halafu unayapeleka kijiweni maana umejua hadi chakula anachotaka mume wake hakipikwi kinapikwa alichotaka dereva! Hiyo ni stage ya juu kidogo ya ufuatiliaji[emoji28][emoji28]

Ila kikubwa mzee huwezi jua ukaribu wao, labda wanakaundugu, wewe ukawa unapata wasiwasi wa bure tu!
 
Ukiwa na mke mama wa nyumbani, mwanaume inabidi uwe na kawaida ya kurudi mchana kwa kushtukiza walau mara moja moja...
 
Hii ndoa inakoelekea bila msaada wa Mungu hii inaelekea kwenye mgogoro mkubwa.

Kisa kiko hivi ,

Hii nyumba tuliopangisha tunaishi na Dereva wa Malori ambae ni Bachelor, huyu jamaa anaporudi kutoka safari ananunua gunia la mkaa na kuliweka ndani japo hapiki, basi ule mkaa utatumiwa na yule dada mke wa mpangaji mwenzangu mpaka utaisha, siku huyo dereva akiamua kushinda nyumbani basi atampa mke wa jamaa Elf 10 ili akipika chakula ajumuishwe.

Cha ajabu chakula anachotaka huyo jamaa ndio kinapikwa hata mume aseme kipikwe chakula gani hakipikwi, jamaa akitoka kwenye mizunguko yake jioni hubeba chipsi na zawadi nyingine na nyama na kumpa mke wa jamaa heti ni zawadi ya mtoto.

Jamaa huwa hashindi nyumbani akitoka asubuhi kurudi saa3 usiku na hajui kinachoendelea, Ninawaza siķu akigundua hii ndoa itaingia kwenye mgogoro mkubwa.
Kama mwenye mke hana hela atulie tuu.
 
kwa hiyo unajishindisha nyumbani ili kumchunguza mke wa jirani yako na matumizi ya gunia la mkaa wa dereva wa lori?
 
Back
Top Bottom