Ya mkemia mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maabara gani umetumia kuchukua sampuli
Huyo ndio mke wa maisha, yuko realistic anafaham ndoa kuna milima na mabonde! Hao wanaochekelea mda wote wa arusi wengi ni waigizaji! Hawachelewi kubadiligiaHabari wakuu,
View attachment 619169
View attachment 619167
Leo ni siku kubwa ya mchekeshaji wetu maarufu Joti bwana huyu ameamua kufunga pingu za maisha.Ndoa hiyo imefungwa kanisa katoliki Magomeni.Bwana na bibi harusi wamenoga sana.
Balaa linakuja kwa mkewe katika kuangalia kwa makini huyu mkewe yupo kama hana furaha...yani amenuna fulani hivii.
Kama ilivyo kawaida bibi harusi wengi hufurahi sana baada ya kufunga pingu za maisha.tofauti na hii ndoa ya Joti yeye ana furaha zaidi ya mkewe.
Kwa upande mwingine mbona siwaoni wale marafiki wa Joti yani namaanisha wakina Mpoki, Masanja.
Je unafikiri huyu binti amefurahia hiyo ndoa au anawaza ndoano?
Point[emoji109]furaha ya mtu ipo moyoni, usoni ni tabasamu na kicheko
Joti ni mkubwa, mimi namjuwa Joti kwa zaidi ya miaka 20 yupo kwenye uigizaji na habadiriki mwili.Tuongee yaishie hapahapa dada anaonekana ana umri Wa kumtosha kabisa (yaani ni Mzee) ndoa haivunjiki Leo.....dada akaenda age na akili itakuwa imetulia...au macho yangu?
Kakosa umri wake?
Joti ni mkubwa, mimi namjuwa Joti kwa zaidi ya miaka 20 yupo kwenye uigizaji na habadiriki mwili.
Huyo dada inawezekana ni mwili wake tu kila mtu alivyojaliwa.
Zari ni mkongwe lakini kwa muonekano anaonekana baso msichana kabisa[/QUOTEImimi naona ni jambo jema unadhan zari angekuwa bint angeendelea na chibu ni faida kuoa MTU aloenda age kidogo
Zile zile walizo tumia wakina Prof Mruma, kufanya sampuli kwenye Makinikia....Maabara gani umetumia kuchukua sampuli
Huyo Joti naye hajielewi mnyoo gani sasa huo wa kihuni hasa kwa siku muhimu kama hii?Habari wakuu,
View attachment 619169
View attachment 619167
Leo ni siku kubwa ya mchekeshaji wetu maarufu Joti bwana huyu ameamua kufunga pingu za maisha.Ndoa hiyo imefungwa kanisa katoliki Magomeni.Bwana na bibi harusi wamenoga sana.
Balaa linakuja kwa mkewe katika kuangalia kwa makini huyu mkewe yupo kama hana furaha...yani amenuna fulani hivii.
Kama ilivyo kawaida bibi harusi wengi hufurahi sana baada ya kufunga pingu za maisha.tofauti na hii ndoa ya Joti yeye ana furaha zaidi ya mkewe.
Kwa upande mwingine mbona siwaoni wale marafiki wa Joti yani namaanisha wakina Mpoki, Masanja.
Je unafikiri huyu binti amefurahia hiyo ndoa au anawaza ndoano?