Ndoa ya Joti: Mke wa Joti hana raha

Ndoa ya Joti: Mke wa Joti hana raha

Mbona alikuwa na raha, hapo ni kwenye mahubili ametulia anasikiliza
 
103fba9354e5cb51d0f77772687df430.jpg

Hapo je hana raha kweli?
 
Kwahiyo ulitaka uone anacheka cheka kijinga humo kanisani?
 
Habari wakuu,

View attachment 619169

View attachment 619167

Leo ni siku kubwa ya mchekeshaji wetu maarufu Joti bwana huyu ameamua kufunga pingu za maisha.Ndoa hiyo imefungwa kanisa katoliki Magomeni.Bwana na bibi harusi wamenoga sana.

Balaa linakuja kwa mkewe katika kuangalia kwa makini huyu mkewe yupo kama hana furaha...yani amenuna fulani hivii.

Kama ilivyo kawaida bibi harusi wengi hufurahi sana baada ya kufunga pingu za maisha.tofauti na hii ndoa ya Joti yeye ana furaha zaidi ya mkewe.

Kwa upande mwingine mbona siwaoni wale marafiki wa Joti yani namaanisha wakina Mpoki, Masanja.

Je unafikiri huyu binti amefurahia hiyo ndoa au anawaza ndoano?
Huyo ndio mke wa maisha, yuko realistic anafaham ndoa kuna milima na mabonde! Hao wanaochekelea mda wote wa arusi wengi ni waigizaji! Hawachelewi kubadiligia
 
Tuongee yaishie hapahapa dada anaonekana ana umri Wa kumtosha kabisa (yaani ni Mzee) ndoa haivunjiki Leo.....dada akaenda age na akili itakuwa imetulia...au macho yangu?
 
Tuongee yaishie hapahapa dada anaonekana ana umri Wa kumtosha kabisa (yaani ni Mzee) ndoa haivunjiki Leo.....dada akaenda age na akili itakuwa imetulia...au macho yangu?
Joti ni mkubwa, mimi namjuwa Joti kwa zaidi ya miaka 20 yupo kwenye uigizaji na habadiriki mwili.

Huyo dada inawezekana ni mwili wake tu kila mtu alivyojaliwa.

Zari ni mkongwe lakini kwa muonekano anaonekana baso msichana kabisa
Kakosa umri wake?
 
Joti ni mkubwa, mimi namjuwa Joti kwa zaidi ya miaka 20 yupo kwenye uigizaji na habadiriki mwili.

Huyo dada inawezekana ni mwili wake tu kila mtu alivyojaliwa.

Zari ni mkongwe lakini kwa muonekano anaonekana baso msichana kabisa[/QUOTEImimi naona ni jambo jema unadhan zari angekuwa bint angeendelea na chibu ni faida kuoa MTU aloenda age kidogo
 
Mleta mada wizard kweli. Its like huwezi ukawa unakenua mimeno all time 24/7 wakat wa ibada. Bob Acha kuchuria mipango na maisha ya watu.

Joti baba kanyaga twendeez u kno. The two look great together. [emoji16][emoji16]
 
Umekaa kiudaku udaku tu,alikwambia hana raha macho yako yana kipimio cha raha na karaha? Mbona husemi Joti hana raha?
 
Habari wakuu,

View attachment 619169

View attachment 619167

Leo ni siku kubwa ya mchekeshaji wetu maarufu Joti bwana huyu ameamua kufunga pingu za maisha.Ndoa hiyo imefungwa kanisa katoliki Magomeni.Bwana na bibi harusi wamenoga sana.

Balaa linakuja kwa mkewe katika kuangalia kwa makini huyu mkewe yupo kama hana furaha...yani amenuna fulani hivii.

Kama ilivyo kawaida bibi harusi wengi hufurahi sana baada ya kufunga pingu za maisha.tofauti na hii ndoa ya Joti yeye ana furaha zaidi ya mkewe.

Kwa upande mwingine mbona siwaoni wale marafiki wa Joti yani namaanisha wakina Mpoki, Masanja.

Je unafikiri huyu binti amefurahia hiyo ndoa au anawaza ndoano?
Huyo Joti naye hajielewi mnyoo gani sasa huo wa kihuni hasa kwa siku muhimu kama hii?
 
Back
Top Bottom