Mwizukulu jilala
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 1,095
- 937
kawaida yenu watu wa maisha magumu vijineno na runenoneno huwa hamkosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa....wabongo mshaanza uchawi.....hebu weka picha za ndoa yako tuone kama wewe ulikuwa na furaha
nazani watakua wameangalia na kile anachokifanya,wamekopi kulingana na kazi yakeHaya makanisa haya,dah,Katoliki wanaruhusu upuuzi kama huu,kweli Pengo kazeeka.
Kwa kazi yake Joti Muonekano wake pia unanafasi yakeKanisa limemruhusu kufunga ndoa na hicho kiduku?
Aisee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hahaaa...huyo jamaa atakuwa mchawi kasoro vitendea kazi tu hanawabongo mshaanza uchawi.....hebu weka picha za ndoa yako tuone kama wewe ulikuwa na furaha
Mkuu kwani unaamini hajawai uona?Atakua unaufikilia mkunyenye wa Mujoti usiku wa leo
Weww khaaaaaaaa uchawi wa wapi huuFuraha itoke wapi kaolewa na punga!