warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Hayawi hayawi sasa yamekua, ile ndoa iliyokua ikisubiriwa kwa hamu baina ya staa Elizabeth Michael, Lulu na Majizo imewadia, baada ya Ndoa yao kutangazwa rasmi leo katika kanisa la mtakatifu Andrea lililopo bahari beach .
Shoga kidawa anaolewa na millionaire , hamisa Sijui atakua na hali gani huko
Shoga kidawa anaolewa na millionaire , hamisa Sijui atakua na hali gani huko