Mkuu kwahiyo jamaa sio millionea in $dollars..efm haina thamani hiyo?Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Overated.Mkuu kwahiyo jamaa sio millionea ni $dollars..efm haina thamani hiyo?
Milionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Mbona kama majungu... kunywa dawa kwa wakati kunaihusikaje hapo
Okay,,bongo ukimiliki asset fulani watu wanahisi hela ipo ya kumwaga tu bila kuangalia operation cost..Overated.
Kabisa bongo acting nyingi,jamaa si milionea ana fedha ya kula tu,sijawahi kuona milionea kashindwa kujenga nyumba,majizo amejenga servant quarter mbweni,majirani zake wote wameporomosha maghorofa ila yeye bado nchecheme nchecheme.Okay,,bongo ukimiliki asset fulani watu wanahisi hela ipo ya kumwaga tu bila kuangalia operation cost..
Kabisa bongo acting nyingi,jamaa si milionea ana fedha ya kula tu,sijawahi kuona milionea kashindwa kujenga nyumba,majizo amejenga servant quarter mbweni,majirani zake wote wameporomosha maghorofa ila yeye bado nchecheme nchecheme.
OhooooooMilionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Hii ishu kwa celebrities sijui haiumi..... hivi kuoa demu kama huyo ambaye kila mtu ana uhakika "kaliwa" na wengi unajisikiaje sijui! Anyway, kila mtu ana interests zake.
Mkuu... hivi kuoa demu kama huyo ambaye kila mtu ana uhakika "kaliwa" na wengi unajisikiaje sijui! Anyway, kila mtu ana interests zake.