Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

True kabisa, stress zinamuua taratibu, hasa za kukosa mume
Haha amebaki tu kuwaita watu masikini,wakati yeye ndio anaviashiria vyote vya kuwa masikini,tena maskini wa akili na mali,kufuatiliafuatilia maisha ya watu ni moja ya ishara za umaskini wake
 
Sitoi kiki kwa waganga njaa, hili jina la warumi nimeli brand mwneyew, naona watu wanatafuta kiki kwa warumi na wao waonekane, ila lazima mjue I’m not your mate, nimewazid maisha, elimu had umaarufu humu[emoji16]


Sipotezi mda wangu kwa machokoraa wasiokua na mbele wala nyuma
 
Aisee!
 
Kila la kheri kwao, jah awe msimamiz wa maisha ya ndoa yao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]jaman kuna watu mejua kucharuana. Sameheanenii
 
Ras kilomoni ipo wapi
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki ndoa ikianza kutangazwa inafungishwa baada ya matangazo matatu consecutive so hii ndoa ingetakiwa iwe ishafungishwa unless otherwise kuna tatizo limetokea
So limetokea tatizo gani mtoa post?
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki ndoa ikianza kutangazwa inafungishwa baada ya matangazo matatu consecutive so hii ndoa ingetakiwa iwe ishafungishwa unless otherwise kuna tatizo limetokea
So limetokea tatizo gani mtoa post?

Wiki iliypita iliku ndo mara ya Tatu , hakuna Tatizo lolote subir umbea tu
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki ndoa ikianza kutangazwa inafungishwa baada ya matangazo matatu consecutive so hii ndoa ingetakiwa iwe ishafungishwa unless otherwise kuna tatizo limetokea
So limetokea tatizo gani mtoa post?
Wameitangaza Mara nyingi ili kuonesha msisitizo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…