Ndoa ya Lulu, Majizzo yatangazwa Rasmi leo...

Hyo nyumba ya bahari beach kwan wamepanga binam? Ila wanaish vzur mashallah , majizzo pesa ipo
Wamepanga huko Bahari beach,majizo ana hela ya kununua kiwanja bahari beach? Bahari beach viwanja ni eka nzima ,Nyumba ya majizo ni hii hapa chini,kama Lulu anabisha mwambie apige picha nyumba anayoenda mbweni.....Mimi ni fundi ujenzi,kwa bahari beach mwenye maeneo ni Baba yake maria sarungi,amenunua jumba la ghorofa 6 la najim,jirani na magembe.

 
Babu mjini hapa kuna watu hawaelewi kitu
Ndomana wakizidishiwa sifuri wanaingia kingi

Ova
 
Tatizo liko wapi wakiishi hapo?
 
... hivi kuoa demu kama huyo ambaye kila mtu ana uhakika "kaliwa" na wengi unajisikiaje sijui! Anyway, kila mtu ana interests zake.


Yaani mliopita wote mtabaki mnajisifia tu wakati jamaa ndio yuko nae. To be honest, mimi kuna mademu niliokutana nao zamani nawamiss sometimes.
 
Hivi ndoa thamani yake ndio imefikia hapa? ni kama mtu ana test gari akiridhika ndio alinunue. ndoa zimepoteza thamani, thamani ya mwanamke kuja kuchukuliwa nyumbani kwa heshima zote sio unalala na mwanamme miaka yote maana ni zinaa na dini zote zinakataza.
 
hongera zao kwa kutaka kuhalalisha uzinifu wamezini muda mrefu bila ndoa ni wakati wao sasa kuhalalisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…