Haaaaa Haaaaa πLILE NI JINI HATA HALION WIVU.MANA KAMENGADA NASA
Yaan me nashindwaga hata kushangaa watu tulivo tofauti... hivi kuoa demu kama huyo ambaye kila mtu ana uhakika "kaliwa" na wengi unajisikiaje sijui! Anyway, kila mtu ana interests zake.
Mmh kinyaa kipo bana. Nikiimagine fulani na fulani na fulani na fulani.....wamepita naishiwa mzuka aisee. Labda kama na mimi napita tu kuonja yaliyomo. Lakini kuoa BIG NOHalua haina makombo wahenga walisema
Hii ndio bongoMilionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Malizia malegend jon nash,percy sledge n don williamsMkuu mimi ni mpenzi wa muziki mzuri,wasanii wote duniani wanaopiga miziki mizuri nawakubali....All kinda genre!
Kwani wanaumwa? Ukiwa jf u cant be boredMilionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Weka Picha....Hata Idrisa naye tuliambiwa ana mijengo Kigamboni.Kigamboni ana Mjengo umetulia wa ukweli.
Kwaiyo hiyo ndio nyumba ya millionaire? Huku wa nje na dirisha vinakaribiana,je millionaire atapata hewa? Lol
Hahaaaa nilikuwa porini,internet changamoto.King Kong ulipotea sana mkuu, ulikuwa wap
Hatari sana hao watu ingawa wamekata kamba lakini miziki yao bado inaishi.Malizia malegend jon nash,percy sledge n don williams
Ndio hapoSi angeuza zile range rover au sio zake pia?Ndio hapo sasa,ameibana hiyo servant "KOTA" kwa nyuma ameacha nafasi kubwa ,anajikusanya akipata fedha ndio ajenge ghorofa,lazima ajikusanye maana majirani zake wote wamepanda hewani.
Okay,,bongo ukimiliki asset fulani watu wanahisi hela ipo ya kumwaga tu bila kuangalia operation cost..
Hahahaha we jamaa...Ila yawezekana kweli,mana jamaa naona midomo imeanza kupaukaMilionea??? Mwambie amalize kwanza nyumba ya Mbweni Mpiji ndio aoe.
Nawashauri waendelee kupiga tizi,kula vizuri na kuzingatia ushauri wa daktari bila kusahau kunywa dawa kwa wakati.
Dah ila kwei babu. Sio kwamba tunakuwa judgemental, but tunajaribu kufanya tafakuri ya kina kuhusu maisha.Sijaoa na siwezi kuoa demu ambaye sio bikra..
And finally,kuna tofauti kati ya kutokumkuta mkeo bikra na kujua mtu/watu waliomla mkeo na video footage zipo
hujaelewekaOkay,,bongo ukimiliki asset fulani watu wanahisi hela ipo ya kumwaga tu bila kuangalia operation cost..