Ndio kawa mama Swalehe?Ndo hivyo kamkimbia kanifuata mzee baba mwenyewe hapa
Tunakula muziki tu hapa [emoji16][emoji38]
Ndio kawa mama Swalehe?
Hapana mpishi
Unataka kumtongoza?????weka picha ya martha tafadhali
Ndio ujue kama umejitwika bomu ipo siku litalipuka tu hata ukilishikilia kama yai....wanaume hawanaga shukrani, ukifanya hili wanatamani lileKuna wakati huyo Martha alikuwa akiwashangaa wanawake waloolewa kuwa kinachosababisha migogoro ya ndoa nyingi ni sababu wanawake waloolewa hawawatii waume zao!
Akajinadi kuwa yeye anajua kutii na kujua vizuri kumhudumia mume!
Sasa kulikoni tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
ntatongozaje sijamuona ? weka picha mkuu, utakua umesaidia wengiUnataka kumtongoza?????
[emoji23] [emoji23] haaantatongozaje sijamuona ? weka picha mkuu, utakua umesaidia wengi
Hiyo hapontatongozaje sijamuona ? weka picha mkuu, utakua umesaidia wengi
Daaa hiyo kali sana ila kaokoka Kama flora mbashaAna sura ngumu...kama siku ya harusi ndio kapigwa make up lkn bado muonekano ndio huu.
Samahani lkn
Teh teh teh aisee Du!!!Ana sura ngumu...kama siku ya harusi ndio kapigwa make up lkn bado muonekano ndio huu.
Samahani lkn
Martha ni yupi apo ?