Ndoa ya Martha Mwaipaja haipo tena?

[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
unafkr!
Usimuulize habari za ilikuwaje sijui mbona yu guys seemed to be so perfect with each other!
WEEEEEEEEEEEEEEEH BANA WEWE!
Agiza mkia mnene ule wa juu ule! kuleni agiza kilauri kunyweni
Baas!
Zungumzieni hata Ubuyu wa babu Issa ulivyo mtamu.
 
unafkr!
Usimuulize habari za ilikuwaje sijui mbona yu guys seemed to be so perfect with each other!
WEEEEEEEEEEEEEEEH BANA WEWE!
Agiza mkia mnene ule wa juu ule! kuleni agiza kilauri kunyweni
Baas!
Zungumzieni hata Ubuyu wa babu Issa ulivyo mtamu.
Kwakweli.
 
Wakati mwingine hawa waimbaji na wtumishi wanatukwaza sana na hata tunafikia mahali tunamkosea Mungu kupitia wanayoyatenda. Mungu atunusuru kwa kweli
 
Daah nikiwaza kuhusu hizi dini hasa ukristo ndio napoamini kuwa hakuna moto ule wausemao sema blabla tu za hadithi za waizilaeli
 
Kwa hiyo unataka kutuambia amekuwa mpira wa kona....kila anayeuwahi anatia kichwa golini!!...hatar sana
 
Then hatakiwi kufanya mapenzi hadi mumewe afariki,kama akifanya mapenzi na mwanaume mwingine na ingali mumewe walieachana yupo hai then atakuwa anazini mbele za Mungu,so atakuwa mzinzi anayemuimbia nyimbo Mungu! what a shame,
The same goes to Frola Mbasha na wengine wa aina hiyo
 
Nakumbuka nyimbo nyingi ameimba kuhusu kuvumilia..[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakuwa wanyenyekevu wakiwa wamevaa nguo mjukuu wangu...
Hahahhah kwa hivi bora wavae kama akina bongo fleva tuwatambue kwa matendo na maneno na uimbaji wao..
Martha aliolewa bila kujitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…