unafkr![emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli.unafkr!
Usimuulize habari za ilikuwaje sijui mbona yu guys seemed to be so perfect with each other!
WEEEEEEEEEEEEEEEH BANA WEWE!
Agiza mkia mnene ule wa juu ule! kuleni agiza kilauri kunyweni
Baas!
Zungumzieni hata Ubuyu wa babu Issa ulivyo mtamu.
Real kabisaNdoa ni very complex ndugu.
Utaishia kufanya many assumptions kuhusu why imevunjika but ukweli wanajuaga wanandoa tu na Mungu wao.
Kwa hiyo tulia, acha majungu.
Kwa sauti yake au?
Hiyo tunaita camouflage and concealment! Anaficha uhalisia anavaa usanii. Akiisha sabini Cheri cha ndoa pembe zinachomoza. Na hii tabia ya kuachana ni sawa na kula nyama ya mtu, haitaisha itaendelea tu!
Ndio
Wakati mwingine hawa waimbaji na wtumishi wanatukwaza sana na hata tunafikia mahali tunamkosea Mungu kupitia wanayoyatenda. Mungu atunusuru kwa kweliAlafu kuna wimbi la hawa waimbaji kutumia umaarufu wao kufungua huduma! Mambo mengine inabidi uwe kichaa kidogo kuamini! Shusho anayo huko Manzese na Martha nimeona anatangaza pia akisema mhubiri ni yeye mwenyewe!! Simple like that!!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 nimecheka had basi. Sentens fup lakin...... Unaweza kuitungia kitabuMartha ni yupi apo ?
Tulia mama mkwe lea wajukuiHapo kwenye uvumilivu sasa napachukia kama nini, ndio shida zipo ila inakera anapokuwa unavumilia vitu vya makusudi kabisa
Una hakika naona kama unatuchanganya...!!
Pole sana na ww ulienda kuoa kina niangusage....Wanawake wa kinyakyusa ni changamoto sana aisee wengi wao hawajielewi haswaa linapokuja suala la kutimiza majukumu yao ya kindoa mi mwenyew ni mhanga wa hao watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni wahuni tu.Alafu kuna wimbi la hawa waimbaji kutumia umaarufu wao kufungua huduma! Mambo mengine inabidi uwe kichaa kidogo kuamini! Shusho anayo huko Manzese na Martha nimeona anatangaza pia akisema mhubiri ni yeye mwenyewe!! Simple like that!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Then hatakiwi kufanya mapenzi hadi mumewe afariki,kama akifanya mapenzi na mwanaume mwingine na ingali mumewe walieachana yupo hai then atakuwa anazini mbele za Mungu,so atakuwa mzinzi anayemuimbia nyimbo Mungu! what a shame,Inasadikika Martha Mwaipaja kaachana na mumewe
Kisa cha kuleta huu uzi ni kuelezea ninachokiona kwa waimbaji wa Muziki wa Injili hasa hawa wa kike.
Kadri mwanamke anavyokuwa na Jina kubwa ndivyo anavyohisi hawezi kuwa chini ya Mamlaka ya mtu fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasadikika Martha Mwaipaja kaachana na mumewe
Kisa cha kuleta huu uzi ni kuelezea ninachokiona kwa waimbaji wa Muziki wa Injili hasa hawa wa kike.
Kadri mwanamke anavyokuwa na Jina kubwa ndivyo anavyohisi hawezi kuwa chini ya Mamlaka ya mtu fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakuwa wanyenyekevu wakiwa wamevaa nguo mjukuu wangu...
Hahahhah kwa hivi bora wavae kama akina bongo fleva tuwatambue kwa matendo na maneno na uimbaji wao..Wanakuwa wanyenyekevu wakiwa wamevaa nguo mjukuu wangu...