Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Bwana alisema, nitakuja dunianiMimi ni muhenga pia. Mwasumbi namkumbuka. Yupo pia David Nkone mjomba wake Upendo Nkone.
Kulichukua kanisa langu, kanisa takatifu
Ewe baba na wewe mama utaonesha nini kwa Mungu, umehubiriwa hubadiliki utajibu nini mbele za Mungu..... Zilikuwa na utisho sana nyimbo za huyu bwana mimi kipindi hicho nilikuwa mdogo kila nikisikia nyimbo zake nilikuwa naogopa kabisa kutenda dhambi
Sent using Jamii Forums mobile app