Baba yake alikuwa anaitwa Essau (rip)...kwao sio Ngonga ni IsangaMartha Mwaipaja ni mzaliwa wa Ngonga Wilayani Kyela. Wanawake wengi wa Kyela huwa hawadumu kwenye ndoa. Sijui wana nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa lakini walokole tumezidi waisilamu nimeishi nao wako poa sanaZingatia demokrasia mkuu. Kuomba ni haki yako na kukubali au kukataa ni haki ya muombwaji
Hahaha
Maneno...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama ni kweli alisema hivyo pole yake, ngoja tumcheke hakuna namna
Maskini 😆😆😆, ukiingia kwenye ndoa uache maneno mengi
Some times meli inakuwa tulivu, unakuwa jasiri kusema vitu.Maskini [emoji38][emoji38][emoji38], ukiingia kwenye ndoa uache maneno mengi
Haya mambo hayatabiriki
mkuu majibu hayo maana niliikuta humoShusho anamhoji kama nani?
Martha nimesikiliza youtube akihojiwa na christine shusho . she seems to ne very inocent ! Ila aliolewea na kicheche!!
Ana sura ngumu...kama siku ya harusi ndio kapigwa make up lkn bado muonekano ndio huu.
Samahani lkn